Magufuli ni mnafiki kama Kikwete

Kwani mwaka 2000 Tume pia ilifuta uchaguzi na kuamua uchaguzi urudiwe na Mkapa akataa usirudiwe?

Sikiliza Majibu yake Kwa BBC, Kwanini anakataa Uchaguzi Usirudiwe, Ndio sababu zinazotolewa Leo Kuwa Uchaguzi haupaswi Kurudiwa. CCM waliokataa Uchaguzi Usirudiwe, (Kwa kuwa walitangazwa washindi) Pale Kikweli Ulipaswa Urudiwe, Leo Hii Wanang'ania Uchaguzi Urudiwe, Pale ambapo haupaswi Urudiwe. (sababu kubwa Ikiwa wakati huu wao wameshidwa wazi wazi) You can't have it both ways!
 
Kabla ya Kuzungumza dhumuni Kubwa La Post Hii Napenda Niweke wazi Kuwa, Kwa Miaka Mingi, Kuwashinda hata wengi wa wanaCCM, Nilitambua Uwezo Mkubwa wa Magufuli wa Kufanya Kazi. Nilikuwa na Shukurani Kubwa sana Kwa Magufuli kwa Upendo wake kwa Tanzania na Watanzania. Nilimpenda zaidi Kwa Tabia yake ya Kutokumwogopa yeyote.

Bahaati Mbaya sana Magufuli anatabia Moja mbaya, Ni Mnafiki, sio Mkweli Kama anavyosema "Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Inapofikia Katika Maswala ya Siasa Magufuli sio mkweli wala mwenye haki, inayofanana na Magufuli wa Ujenzi wa Taifa na Huduma za Jamii.

Unafiki wa wazi ni Pale aliposisitiza Kuwa ati Majaji walimwambia Kuwa Hawana haja ya Kuonekana Live, akiwa anaweka dhana Kuwa Majaji wanamuunga Mkono kwa Kuingilia Utendaji wa Bunge. Swala la Kukatisha matangazo ya TBC ilikuwa ni kwa Lengo la Kuubana Upinzani Bungeni na Kuruhusu Uonevu. Kusema Vinginevyo Ni Unafiki,

Swala Lingine Lilikuwa Ni swala la Zanzibar, Magufuli anajua wazi, Kikwete na Mkapa, walishinikiza Jecha Kufuta matokeo kwa Maslahi ya CCM, Magufuli anajua kuwa NEC, na ZEC sio Tume Huru. Magufuli anajua Uhuni Uliotendeka Zanzibar, Kwa yeye Kujifanya Jecha alifanya maamuzi yake Kikatiba Ni Unafiki.

Watu wanasahau Kuwa Sio Madictator wote Ni wa Aina ya Mobutu, Wengine walikuwa Madictator wa Kuchaguliwa na Watu waoliwaabudu, Madictator hao walikuwa Tayari kutoa damu yao Kuwapa watu wao Wainywe kama wana Kiu. Lakini kwenye Ukubwa wangemtoa yeyote Roho. Mfano halisi alikuwa ni Adolf Hitler. I hope Magufuli Ataacha Unafiki When it comes to Politic.

Mnamjua Mpanju yule Jamaa wa Bunge la Katiba, sasa Hivi kapewa Ukubwa Kwenye Wizara ya Sheria na Katiba.
Mnamkumbuka Makonda na siasa zake za maji taka, Naye Pia alikuwa Kwenye Bunge la Katiba, Magufuli sasa anampa Chapuo
Naaamini hata Bi Asha Bakari asingefariki, angepewa Madaraka Makubwa Kwa Kumtukana Jusa Bungeni! Huyo Ndiye Magufuli Mwanasiasa!

Sikiliza Maneno Yake Katika Sherehe za CCM, Msikilize Mpka Mwisho, Kuna Mahali aliropoka Ukweli, Kuonyesha Zanzibar ilikuwa Ni "Kukataa Kutawaliwa"


Kumbe jamaa kachaguliwa na chama cha mapinduzi? Du
 
Kabla ya Kuzungumza dhumuni Kubwa La Post Hii Napenda Niweke wazi Kuwa, Kwa Miaka Mingi, Kuwashinda hata wengi wa wanaCCM, Nilitambua Uwezo Mkubwa wa Magufuli wa Kufanya Kazi. Nilikuwa na Shukurani Kubwa sana Kwa Magufuli kwa Upendo wake kwa Tanzania na Watanzania. Nilimpenda zaidi Kwa Tabia yake ya Kutokumwogopa yeyote.

Bahaati Mbaya sana Magufuli anatabia Moja mbaya, Ni Mnafiki, sio Mkweli Kama anavyosema "Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Inapofikia Katika Maswala ya Siasa Magufuli sio mkweli wala mwenye haki, inayofanana na Magufuli wa Ujenzi wa Taifa na Huduma za Jamii.

Unafiki wa wazi ni Pale aliposisitiza Kuwa ati Majaji walimwambia Kuwa Hawana haja ya Kuonekana Live, akiwa anaweka dhana Kuwa Majaji wanamuunga Mkono kwa Kuingilia Utendaji wa Bunge. Swala la Kukatisha matangazo ya TBC ilikuwa ni kwa Lengo la Kuubana Upinzani Bungeni na Kuruhusu Uonevu. Kusema Vinginevyo Ni Unafiki,

Swala Lingine Lilikuwa Ni swala la Zanzibar, Magufuli anajua wazi, Kikwete na Mkapa, walishinikiza Jecha Kufuta matokeo kwa Maslahi ya CCM, Magufuli anajua kuwa NEC, na ZEC sio Tume Huru. Magufuli anajua Uhuni Uliotendeka Zanzibar, Kwa yeye Kujifanya Jecha alifanya maamuzi yake Kikatiba Ni Unafiki.

Watu wanasahau Kuwa Sio Madictator wote Ni wa Aina ya Mobutu, Wengine walikuwa Madictator wa Kuchaguliwa na Watu waoliwaabudu, Madictator hao walikuwa Tayari kutoa damu yao Kuwapa watu wao Wainywe kama wana Kiu. Lakini kwenye Ukubwa wangemtoa yeyote Roho. Mfano halisi alikuwa ni Adolf Hitler. I hope Magufuli Ataacha Unafiki When it comes to Politic.

Mnamjua Mpanju yule Jamaa wa Bunge la Katiba, sasa Hivi kapewa Ukubwa Kwenye Wizara ya Sheria na Katiba.
Mnamkumbuka Makonda na siasa zake za maji taka, Naye Pia alikuwa Kwenye Bunge la Katiba, Magufuli sasa anampa Chapuo
Naaamini hata Bi Asha Bakari asingefariki, angepewa Madaraka Makubwa Kwa Kumtukana Jusa Bungeni! Huyo Ndiye Magufuli Mwanasiasa!

Sikiliza Maneno Yake Katika Sherehe za CCM, Msikilize Mpka Mwisho, Kuna Mahali aliropoka Ukweli, Kuonyesha Zanzibar ilikuwa Ni "Kukataa Kutawaliwa"


unafiki mwisho wake miaka hii mitano
 
Siasa zetu jinsi zilivyo wakati mwingine lazima usimamie uongo ili mambo yaende,mfano chadema na gia za hewani! Walimtukana lowasa matusi lukuki baadae walipompata wakamgeuza mkombozi.
Kwa nionavyo ccm kuiachia Zanzibar kwa Cuf hii ni sawa na kuvunja muungano. Pia kuikubali katiba ya warioba ni kuimaliza ccm.Japo kwa ukweli ni haki pia Cuf kutawala na katiba ya warioba kupitishwa.
Kwa hiyo huo muunganao ni wa ccm na si kati ya nchi ya Zanzibar na Tanganyika sio?
 
Sikiliza Majibu yake Kwa BBC, Kwanini anakataa Uchaguzi Usirudiwe, Ndio sababu zinazotolewa Leo Kuwa Uchaguzi haupaswi Kurudiwa. CCM waliokataa Uchaguzi Usirudiwe, (Kwa kuwa walitangazwa washindi) Pale Kikweli Ulipaswa Urudiwe, Leo Hii Wanang'ania Uchaguzi Urudiwe, Pale ambapo haupaswi Urudiwe. (sababu kubwa Ikiwa wakati huu wao wameshidwa wazi wazi) You can't have it both ways!
Tume ilifuta uchaguzi mwaka 2000 na Mkapa akataa? Hizo sababu zilizotolewa zilitolewa na observers sio tume, naamini.
 
Nini 2020, Hata angeongeza Muda na Kuwa Rais hadi 2050, Hiyo sio ninayozungumzia, Hata Akiondoa Katiba akajiita Mfalme Magufuli Sio hoja yangu sasa, Ninachosema Ni Nilichokiona Magufuli ni Mnafiki, hayo Mengine Utajua mwenyewe.
hahahaaaaaaaaaaaaaa
 
ikumsaidia rais nibudi kumweleza ukweli ili asione yuko sahihi kwa mambo anayokosea waziwazi.

1. Ni aibu sana tena sana kumkumbatia nyoka wa makengeza. Chenge mchafu kupindukia lakin......hii ni aibu kubwa kwa magufuli na serikali yake.

2. Kashifa ya Escrow iko wazi kabisaa nakibaya zaidi amewateuwa wezi wa sakata hili kwenye serikali yake.....upuuzi mtupu mbona anakanyaga maazimio ya bunge?....weledi wa pombe upo wapi?

3. Kashifa ya mabehewa......wezi anakula nao sahani moja na alifanya uteuzi akifaham fika .....ukweli wa kashifa hii...tunamwamin vipi pombe kufanya uteuzi wa wezi?

4. Suala la zanzibar halihitaji tochi kufaham makosa ya jecha na kauli tata za akina balozi idd na makada wengi wa ccm....zazibar haitatolewa ....kwa karatasi....katika sahani....nknk hili linamaanisha nini .....wapigane vita Ili kuipata demokrasia yakweli?

5. TBC kutorusha mijadala ya bunge.....nidhahili Nape anatekeleza maelekezo ya maguful na hapa wanavunja katiba.....haki yakupata habari....ukizingatia TBC inaendeshwa kwa kodi zetu.

Kuzuia mijadala ya bunge nikuficha taarifa muhim ambazo zingesaidia kufahamu jinsi wabunge wanavyotuwakilisha. ......wanavyoisimamia serikali........wanavyojenga hoja za kimaendeleo na kama wanafanya utovu wa nidham sio kazi ya pombe kuwadhibiti......watakuja kuomba kura sisi tuliowachaguwa tutatoa maamuzi sahihi...huu ni ujinga uliopindukia tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele.

6. Kushindwa kushughulikia kesi za mauwaji
-mawazo

-mnvungi

- mwangosi

nknk

Tumeshuhudia katunguliwa mzungu mstuni tena kwa siri.......wahalifu wamepatikana nakufungwa mara moja......mbona mawazo kachinjwa mchana kweupe kama kuku mpaka leo ziiii......hapa kunaunafiki mkubwa kwa majaliwa na pombe tena wa waziwazi

7. katiba yetu imekwama ......pombe haoengei chochote huu pia ni unafiki anasubiri nini....mbona walioinajisi amewaona na kuwapa ulaji

- Chenge

- mpanju

- Naibu spika wakubumba

8. Pamoja na utovu wa nidham wooote wa makonda...pombe anaona huyo ndiyo jembe

Alimtwanga mzee walioba

-kamsweka rumande mbunge

-Anamatusi na mdomo mchafu....hana maadili Wala staha.....

Huyu kwa magufuli anafaa kwasababu anabinya na kupambana nawapinzani tena kwa udhalilishaji.....hili limemfrahisha pombe sana Bila aibu anamsifu kwa tabia hizo za udhalilishaji.......huu niwendawazimu.

pamoja na mazuri yake mengi.....pombe bado anasafari ndefu sana maana hana siha ya ukweli.....uvumilivu na mbabaishaji mkubwa.

Ilikufanya maendeleo yakweli ajitafakari na kutenda haki kama rais ili baraka za Mungu ziwe juu yake. Mungu hawezi mbariki kwa jinsi anavyofanya....maana Mungu wetu si mnafiki, lakin pombe mnafiki atapataje baraka za Mungu????????????? Haiwezekani hata tukiomba vipi.....maana tunayemuombe anafanya yaliyo najisi nje ya mapenzi ya Mungu.

..........................................................................
 
Mkuu, mambo mengi yanabadilika kutokana na MUDA. Ni kawaida. Hata wewe baada ya MUDA utakuwa na nywele nyeupe, kipara,... huo ndio MUDA.

Unafiki wake Mwingine:


SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na
tutalimaliza haraka.....


SIKU YA XMAS:
Kama nilivyoahidi bungeni
suala la Zanzibar tutalimaliza
karibuni


SIKU YA WAZEE WA MKOA
WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi
kuliingilia kwasababu tume
huru na haiwezi kuingiliwa na
chombo chochote...
 
Unafiki wake Mwingine:


SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na
tutalimaliza haraka.....


SIKU YA XMAS:
Kama nilivyoahidi bungeni
suala la Zanzibar tutalimaliza
karibuni


SIKU YA WAZEE WA MKOA
WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi
kuliingilia kwasababu tume
huru na haiwezi kuingiliwa na
chombo chochote...
Mkuu hii ngumu kumesaa
 
Kabla ya Kuzungumza dhumuni Kubwa La Post Hii Napenda Niweke wazi Kuwa, Kwa Miaka Mingi, Kuwashinda hata wengi wa wanaCCM, Nilitambua Uwezo Mkubwa wa Magufuli wa Kufanya Kazi. Nilikuwa na Shukurani Kubwa sana Kwa Magufuli kwa Upendo wake kwa Tanzania na Watanzania. Nilimpenda zaidi Kwa Tabia yake ya Kutokumwogopa yeyote.

Bahaati Mbaya sana Magufuli anatabia Moja mbaya, Ni Mnafiki, sio Mkweli Kama anavyosema "Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Inapofikia Katika Maswala ya Siasa Magufuli sio mkweli wala mwenye haki, inayofanana na Magufuli wa Ujenzi wa Taifa na Huduma za Jamii.

Unafiki wa wazi ni Pale aliposisitiza Kuwa ati Majaji walimwambia Kuwa Hawana haja ya Kuonekana Live, akiwa anaweka dhana Kuwa Majaji wanamuunga Mkono kwa Kuingilia Utendaji wa Bunge. Swala la Kukatisha matangazo ya TBC ilikuwa ni kwa Lengo la Kuubana Upinzani Bungeni na Kuruhusu Uonevu. Kusema Vinginevyo Ni Unafiki,

Swala Lingine Lilikuwa Ni swala la Zanzibar, Magufuli anajua wazi, Kikwete na Mkapa, walishinikiza Jecha Kufuta matokeo kwa Maslahi ya CCM, Magufuli anajua kuwa NEC, na ZEC sio Tume Huru. Magufuli anajua Uhuni Uliotendeka Zanzibar, Kwa yeye Kujifanya Jecha alifanya maamuzi yake Kikatiba Ni Unafiki.

Watu wanasahau Kuwa Sio Madictator wote Ni wa Aina ya Mobutu, Wengine walikuwa Madictator wa Kuchaguliwa na Watu waoliwaabudu, Madictator hao walikuwa Tayari kutoa damu yao Kuwapa watu wao Wainywe kama wana Kiu. Lakini kwenye Ukubwa wangemtoa yeyote Roho. Mfano halisi alikuwa ni Adolf Hitler. I hope Magufuli Ataacha Unafiki When it comes to Politic.

Mnamjua Mpanju yule Jamaa wa Bunge la Katiba, sasa Hivi kapewa Ukubwa Kwenye Wizara ya Sheria na Katiba.
Mnamkumbuka Makonda na siasa zake za maji taka, Naye Pia alikuwa Kwenye Bunge la Katiba, Magufuli sasa anampa Chapuo
Naaamini hata Bi Asha Bakari asingefariki, angepewa Madaraka Makubwa Kwa Kumtukana Jusa Bungeni! Huyo Ndiye Magufuli Mwanasiasa!

Sikiliza Maneno Yake Katika Sherehe za CCM, Msikilize Mpka Mwisho, Kuna Mahali aliropoka Ukweli, Kuonyesha Zanzibar ilikuwa Ni "Kukataa Kutawaliwa"


Kutoonyesha bunge live kunawabana vp wapinzani???
 
Kutoonyesha bunge live kunawabana vp wapinzani???

1. Kazi wanayoifanya inabaki kuwa siri ya jengo la bunge

3. Jukum la kuisimamia serikali linabaki kuwa siri ya spika na wabunge....wananchi wapo gizani ....ambao ndio wahusika wakuu

4. Uchaguzi utakapo rejea tena sio rahisi kufanya uchaguzi sahihi

- upo uwezekano wa chama tawala watatekelezewa maombi yao kwa upendekeo na kuonekana wanafanya utetezi vema wa majimbo yao ( Mfano leo taarifa ya habari 2000hrs itv.....wananchi wamegomea umeme kupita katika ardhi yao kuelekea kibakwe- jimbo la aliekuwa waziri wa nishati Simbachawene....huu ni upendeleo, kwanini uvushe vijiji kibao kupeleka jimboni kwako ukiacha vijiji kibao njiani?)

- upo uwezekano wa upinzani wakatetea nakujenga hoja bora kabisa ....lakini wakapuuzwa....majimbo yao yakakosa maendeleo iliwaonekane wahovyo......

Ilikujenga dhana ya uwazi, uwajibikaji na weledi.....wanaanchi wapewe nafasi kuona moja kwa moja nini wabunge wao wanafanya ilikufanya maamuzi sahihi.
 
Kutoonyesha bunge live kunawabana vp wapinzani???

Hoja zikizimwa Utaona? Wakisingiziwa Kitu na Kuadhibiwa Utajua? Wakijadili maswala Kadhaa yasiyopendwa na Serikali Utayaona? By the way I don't have time to answer hypocrites. Unajua Vizuri sana Hoja, Ubishi uliopo hapa Ni mwendelezo huo huo wa Unafiki wa Wenzako.
 
ikumsaidia rais nibudi kumweleza ukweli ili asione yuko sahihi kwa mambo anayokosea waziwazi.

1. Ni aibu sana tena sana kumkumbatia nyoka wa makengeza. Chenge mchafu kupindukia lakin......hii ni aibu kubwa kwa magufuli na serikali yake.

2. Kashifa ya Escrow iko wazi kabisaa nakibaya zaidi amewateuwa wezi wa sakata hili kwenye serikali yake.....upuuzi mtupu mbona anakanyaga maazimio ya bunge?....weledi wa pombe upo wapi?

3. Kashifa ya mabehewa......wezi anakula nao sahani moja na alifanya uteuzi akifaham fika .....ukweli wa kashifa hii...tunamwamin vipi pombe kufanya uteuzi wa wezi?

4. Suala la zanzibar halihitaji tochi kufaham makosa ya jecha na kauli tata za akina balozi idd na makada wengi wa ccm....zazibar haitatolewa ....kwa karatasi....katika sahani....nknk hili linamaanisha nini .....wapigane vita Ili kuipata demokrasia yakweli?

5. TBC kutorusha mijadala ya bunge.....nidhahili Nape anatekeleza maelekezo ya maguful na hapa wanavunja katiba.....haki yakupata habari....ukizingatia TBC inaendeshwa kwa kodi zetu.

Kuzuia mijadala ya bunge nikuficha taarifa muhim ambazo zingesaidia kufahamu jinsi wabunge wanavyotuwakilisha. ......wanavyoisimamia serikali........wanavyojenga hoja za kimaendeleo na kama wanafanya utovu wa nidham sio kazi ya pombe kuwadhibiti......watakuja kuomba kura sisi tuliowachaguwa tutatoa maamuzi sahihi...huu ni ujinga uliopindukia tunarudi nyuma badala ya kusonga mbele.

6. Kushindwa kushughulikia kesi za mauwaji
-mawazo

-mnvungi

- mwangosi

nknk

Tumeshuhudia katunguliwa mzungu mstuni tena kwa siri.......wahalifu wamepatikana nakufungwa mara moja......mbona mawazo kachinjwa mchana kweupe kama kuku mpaka leo ziiii......hapa kunaunafiki mkubwa kwa majaliwa na pombe tena wa waziwazi

7. katiba yetu imekwama ......pombe haoengei chochote huu pia ni unafiki anasubiri nini....mbona walioinajisi amewaona na kuwapa ulaji

- Chenge

- mpanju

- Naibu spika wakubumba

8. Pamoja na utovu wa nidham wooote wa makonda...pombe anaona huyo ndiyo jembe

Alimtwanga mzee walioba

-kamsweka rumande mbunge

-Anamatusi na mdomo mchafu....hana maadili Wala staha.....

Huyu kwa magufuli anafaa kwasababu anabinya na kupambana nawapinzani tena kwa udhalilishaji.....hili limemfrahisha pombe sana Bila aibu anamsifu kwa tabia hizo za udhalilishaji.......huu niwendawazimu.

pamoja na mazuri yake mengi.....pombe bado anasafari ndefu sana maana hana siha ya ukweli.....uvumilivu na mbabaishaji mkubwa.

Ilikufanya maendeleo yakweli ajitafakari na kutenda haki kama rais ili baraka za Mungu ziwe juu yake. Mungu hawezi mbariki kwa jinsi anavyofanya....maana Mungu wetu si mnafiki, lakin pombe mnafiki atapataje baraka za Mungu????????????? Haiwezekani hata tukiomba vipi.....maana tunayemuombe anafanya yaliyo najisi nje ya mapenzi ya Mungu.

..........................................................................

Napenda sana Mtu anayeainisha claims zake kwa Ushahidi. This is good
 
Mkuu jifunze kutofautisha kati ya vyama na katiba ya nchi. Mie nazungumzia katiba ya nchi na si mambo ya vyama hapa. NEC na ZEC zimewekwa na katiba ya nchi na si vyama.

Lakini Mkuu Africa na hasa Tanzania chama ni zaidi ya hata dini. Inaingilia utendaji wa katiba kama ilivyotokea hapa kwetu
 
Lol!....naona umeuweka unafiki pembeni kabisa na umeamua kumpa za uso wazi wazi na kumwita "MNAFIKI"

Ni kweli ni mnafiki na kila kinachofanyika ni cha kinafiki tu hata tumbua majipu ni unafiki kwa kwenda mbele

Kwa sababu huyu jamaa angekuwa si mnafiki kweli, angeshatumbua jipu kubwa la Tegeta Escrow Account na angeweza kusababisha ktk eneo hilo tu kupata zaidi Tshs bilion mia moja na ushee na wahusika kuanza kunyea madebe Segerea au Ukonga!

Eti kwa unafiki wake, anajivunia kuokoa 7bn kwenye sherehe za uhuru, ukimwi na kuzuia safari. Hivi 320bn (za Escrow scandal) na hii 7bn ni wapi na wapi kama si unafiki tu?
Kosa kubwa tunalo fanya wapinzani ni kuishi dunia tunayoitaka sisi na siyo dunia iliyopo.ni kama tunakuja huku kuondoa hasira fulani halafu tunafurahi kuwa tayari adui tumemuua na hana chake tena.kumbe siyo kweli.lazima tuongeze ujanja , mbinu na ubunifu mkubwa ili tufikie malengo vinginevyo tutabaki kulalamika miaka nenda rudi bila mafanikio.katika siasa kitu kikubwa ni kujua nguvu ya mpinzani wako na udhaifu wake kisha panga mkakati kabambe wa jinsi ya kumshinda.

Sinema iitwayo no easy escape at Sobibo pamoja na mambo mengine inatufundisha jinsi ya kupambana kwa nguvu zako zote, akili zako zote hata kama adui yako amekudhibiti kwa asilimia 99! kukaa na kulalamika kuwa kuwa Magufuli amezuia kuona live bunge kila uchao bila kubuni njia mbadala haitatusaidia.muhimu wananchi waijue kweli basi. sasa kama wataujua ukweli iwe live au kupitia magazeti au TV recorded shida iko wapi? kikubwa ni kuwa na ujmbe wenye nguvu itafika mahali wananchi wenyewe watasema ahaa ndio maana walikuwa wanazuia bunge lisioneshwe LIVE! hapo unakuwa mshindi. Kwasasa wameamini kuwa Magufuli analenga kubana matumizi na wanaona anavyo wahangaikia, kwanini wasiamini kuwa hiyo ndio nia yake kweli?

Chama kimemzidi nguvu, na yeye kule kwenye chama chake hana cheo chochote kwa sasa.wahafidhina wamembana asiingilie mambo yao, labda aamue kuwa mbabe kitu ambacho hakitawaacha wote wakiwa salama.ametumia maneno tu ya kidiplomasia lakini anajua kinachoendelea kule Zanzibar na kwenye vichwa vya watangulizi wake.anapisha shari. sarakasi za Zanzibar mwisho wake umefika, hakuna marefu yasiyo na ncha! ukiona watu wanasema Nchi haiwezi kutolewa kwa makaratasi ujue wamezidiwa kwani hutawali Nchi unatawala watu na ndio wanao wakataa!

Rai yangu kwa viongozi wa upinzani ni kwamba, katika Halmashauri ambazo wapinzani tunaziendesha tujitahidi kufanya mambo ambayo wananchi wanayataka, iwe ni mfano kama zamani iliyo kuwa Karatu.tutengeneze karatu zingine 100 ili wapiga kura wazidi kutuamini na kutupigia kura tena na tena.watu wana kiu ya maendeleo siyo vyama.tusipo ongeza ubunifu Magufuli atatupiga bao na tutaondoka mioyoni mwa wapiga kura.
 
Back
Top Bottom