johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,134
Tumeshuhudia wenyewe Hivi karibuni Serikali ikikiri imeshakopa sana sasa basi.
Na Wananchi wamejawa furaha baada ya Umeme wa Shujaa Magufuli kule Bwawani kwa Mwalimu Nyerere kutuondolea mgao mwaka huu wa Uchaguzi wa Serikali za mitaa.
"Msiogope Mungu wa Mbinguni Atawapigania Nanyi Mtanyamaza Kimya"
Leo ni Njia ya Msalaba
Na Wananchi wamejawa furaha baada ya Umeme wa Shujaa Magufuli kule Bwawani kwa Mwalimu Nyerere kutuondolea mgao mwaka huu wa Uchaguzi wa Serikali za mitaa.
"Msiogope Mungu wa Mbinguni Atawapigania Nanyi Mtanyamaza Kimya"
Leo ni Njia ya Msalaba