Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,369
CCM hawajajua watanzania wanataka nini.
Uchaguzi huu Magufuli hajajipanga na hajui aongee nini.
Hivi kiuhalisia walimu walishawahi wana shida ya laptop?
Ina maana hao CCM hadi leo hawajui walimu wanahitaji nini?
CCM ijipange, uchaguzi wa mwaka huu watu watawahoji ahadi zao kama realistic, la sivyo wataona kama wanapotezewa muda tu.
Uchaguzi huu Magufuli hajajipanga na hajui aongee nini.
Hivi kiuhalisia walimu walishawahi wana shida ya laptop?
Ina maana hao CCM hadi leo hawajui walimu wanahitaji nini?
CCM ijipange, uchaguzi wa mwaka huu watu watawahoji ahadi zao kama realistic, la sivyo wataona kama wanapotezewa muda tu.