Kwani muda mrefu ni masaa mangapi mpaka mtu ashindwe kufanya kazi zake ofisini??
Amefanya kazi kubwaMagufuli amekuwa mwanafunzi wa Phd hapo chemistry kama kamaliza nampa hongera kwa kweli kutoka kuwa mwalimu sengerema secondary kwa kweli anahitaji pongezi ameonyesha kuwa ni hardworker na yuko serious kwa kweli
Hivi wewe semenya ni mwanamke au mwanaume? Kuna maswali bado yanatatiza uma wa dunia. Just curious and would like to hear from wewe mwenyewe.
Itakuwa ajabu!If so ,now UDSM itakuwa politised now.Niambieni Dr Hosea wa Rushwa ana Phd toka wapi?