Master Oogway
Senior Member
- Jul 7, 2022
- 141
- 339
- Thread starter
- #21
Ni nadharia zako,Big no. Jpm alikuwa hajuai Cha kufanya akiwa ikulu. Yeye mwenyewe alikuwa anashangaa imekuwaje akawa rais. Mpaka Sasa angekuwepo uasi nchi ingekuwa kama DRC. Kungetokea vikundi vingi vya waasi na jeshi lingegawanyika sana. Kuna wanajeshi wanapenda vyama vya upinzani hususani chadema
Ni makosa kusema kwamba alikuwa hajui anachokifanya kwa sababu kila Raisi anayeingia Madarakani anajua anachokifanya ndio maana Ilani ipo pale kama Dira yake.