wakuu tusibeze kuwa hichi kitu hakipo Ethiopia kipo. Jaribu kuchekia kupitia google map utaoina.
Lakini usiishie hapo kuna street zimepewa majina ya nchi including Tanzania hebu pitia kwa karibu sana
mtaa wa Tanzania (Tanzania st.) then pitia mtaa wa S.Africa, Sychelles, na Roosevelt. Ukipata jibu na wenzetu
wanatufukiriaje. Sijawahi fika Ethiopia lakini kupitia google unaweza ukafika na ukaona.
Nawakilisha
Lakini usiishie hapo kuna street zimepewa majina ya nchi including Tanzania hebu pitia kwa karibu sana
mtaa wa Tanzania (Tanzania st.) then pitia mtaa wa S.Africa, Sychelles, na Roosevelt. Ukipata jibu na wenzetu
wanatufukiriaje. Sijawahi fika Ethiopia lakini kupitia google unaweza ukafika na ukaona.
Nawakilisha