Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,325
- 6,813
Sasa kama BRELA iko chini ya Viwanda na Biashara, waziri wa Uvuvi alienda kukagua BRELA kwa msingi gani?
"Katika kupita huku na kule nikamuona Maghufuli akiwa na maafisa wa BRELA akistaajabu mafaili kuhifadhiwa hadi miguuni kwa maofisa wa Brela"
Hivi hapa wamesema alienda kukaguaa??