hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Ubaya wa mitandao ni kwamba hujui mwandishi ni kweli Mtanzania ama ni mtu anayekijua kiswahili na kaamua kuwa member na kuleta uzi. Huyu mwandishi wa hii mada sidhani kama ni Mtanzania na anaijua CCM. Kama unataka ushangiliwe na wanaotaka kujiliwaza na jambo lisilo la kweli basi umewapata. Lakini kwa wenye akili timamu lazima watahoji kama kweli wewe ni mzima ama kichaa cha mbwa kimekupata........Habari za wakati huu;
Kama kawaida kuna wengine wanweza kuona kama huu ni utani ila ndio ukweli:
Habari zisizikuwa na shaka na ambazo wengi hawaziamini wanasema kwamba Magufuliwa atang'olewa mwaka 2020.
Wanaoshiriki katika kamati hii ya fitina ya kumng;oa ni viongozi waandamizi wa zamani na wasasa pamoja wanasiasa nguli katika kambi ya upinzani na ndani ya chama tawala.
Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba kwa sasa wangeshafanya uamuzi ila wanamvumilia kwa sababu ya kulinda stability ya taifa(National Stability) na sio kwa kumuogopa au kushindwa.
Vile vile upo mkakati wa kumska mrithi wake ambaye mpaka sasa hajapatikana wa hakika ambaye ataleta figisu kama za Magufuli.
Mkakati huu unahusisha watu mashuhuri sana.
Jinsi atakavyotolewa.Itaanza kwenye kura za maoni ndani ya chama.Hawatasubiri aingie kwenye sanduku la kura na kwa hio kuna uwezekano kabisa Magufuli akawa rais wa Muhula mmoja.
Hii mtaota na kuweweseka lakini haitatokea.Habari za wakati huu;
Kama kawaida kuna wengine wanweza kuona kama huu ni utani ila ndio ukweli:
Habari zisizikuwa na shaka na ambazo wengi hawaziamini wanasema kwamba Magufuliwa atang'olewa mwaka 2020.
Wanaoshiriki katika kamati hii ya fitina ya kumng;oa ni viongozi waandamizi wa zamani na wasasa pamoja wanasiasa nguli katika kambi ya upinzani na ndani ya chama tawala.
Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba kwa sasa wangeshafanya uamuzi ila wanamvumilia kwa sababu ya kulinda stability ya taifa(National Stability) na sio kwa kumuogopa au kushindwa.
Vile vile upo mkakati wa kumska mrithi wake ambaye mpaka sasa hajapatikana wa hakika ambaye ataleta figisu kama za Magufuli.
Mkakati huu unahusisha watu mashuhuri sana.
Jinsi atakavyotolewa.Itaanza kwenye kura za maoni ndani ya chama.Hawatasubiri aingie kwenye sanduku la kura na kwa hio kuna uwezekano kabisa Magufuli akawa rais wa Muhula mmoja.