Iparamasa!!!!
Iparamasa!!!!
Kwani alikuwa anasumbuliwa na nini hadi akaenda kwa babu Loliondo?Hivi magufuri kitendo cha kwenda kupata kikombe kwa babu mwasapile kule samunge alipona au hakupona,nakama hakupona anatwambiaje kuhusu afya yake?
Duh! Watu wana data asee. Hii ilikuwa JULAI 2015. Hayahuyu anaumwa ufisadi na ukurupukaji
Kama kuna watu walikufa baada ya hii hadaa inakuwaje au Albshir ndo ...
Hebu tukumbusheni watu mashuhuri waliokwenda kupata kikombe Loliondo.Tukumbusheni pia waziri wa afya wa kenya wakati huo Beth Mugo alisema nini kuhusu Babu wa Loliondo.Tukumbusheni kama taasisi zetu za utafiti wa maradhi ya binadamu kama vile kwa dada yetu aliyetaka kuwa Mh.Rais (NIMRI)au kwa Dr.Salim kule Bagamoyo waliongea lolote kuhusu dawa ya Babu al maaruf kikombe.Tukumbusheni pia kama Babu ameahidi tukio lingine la ajabu kama la kikombe.Wanahistoria mutakuwa mumehifadhi tukio la kikombe lisije likapotoshwa.....????Guiness book of world records walipelekewa hili tukio....watu wangapi walipoteza maisha.
Hivi mamako wewe alirudi au alipotelea kwa mwasapile?Mtaokoteza ajenda za chini ya mwembe mpaka mfe kwani ni watanzania wangapi walienda huko akiwemo mama yako?acha ushamba wewe!
Ccm ni mahinterahamweWanaweweseka hawa hawasemi kuhusu CDM kuwa kambi ya wahamiaji haramu!tena imeshatekwa!
Wewe umelowa mifuko ya nyumaMnaendelea kuvibrate mpaka mmelowa pande za down!
GoodHapana huo sio unafiki kama ni unafiki tuwekee picha ya Mbowe, Dr.Slaa, Tundu Lissu, Mnyika wakiwa Samunge kwa babu wakinywa hiyo dawa