Salaam, Shalom!!
Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?
Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?
Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?
Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.
Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.
Karibuni🙏
Naomba tu kujua, Shujaa wetu, mchapakazi, mpenda watu, mthubutu, mzalendo Magufuli aliwakosea nini?
Kutumia vizuri Kodi zetu kufanya makubwa kwa muda mfupi ni kosa?
Kwanini Jina lake liondolewe katika Stendi kuu ya Mabasi Dar na wale wale mliokuwa karibu yake?
Ikiwa ni Kuna mpango huo, tafadhalini, usifanikiwe.
Source: Gazeti la Habari Leo, chapisho la Dec 16 ,2023. Katika picha iliyotumika kuelezea Mapato ya Stendi ya Magufuli sh ml 10 Kwa siku- Antipas Kavishe.
Karibuni🙏