kwenye kampeni ya bomoa bomoa watu waliovamia barabara licha ya kukatazwa na pinda na JK yeye alibomoa na kuacha haibu kubwa kwa JK na Pinda . sasa sakata la nauli za kigamboni lipo kwa pinda nadhani atampelekea taarifa na JK , Magufuli tambua pinda na JK ni wasanii tuonyeshe makucha yako jinsi unavyowadharau pinda na JK ili wajue wao ni vilaza.
sakata la kigamboni ni mgogoro kati ya pinda na magufuli kwani pinda alisema nauli azijapanda na magufuli amesema zimepanda na hakuna wa kuzishusha. je nani zaidi
sakata la kigamboni ni mgogoro kati ya pinda na magufuli kwani pinda alisema nauli azijapanda na magufuli amesema zimepanda na hakuna wa kuzishusha. je nani zaidi