Hivi karibuni kumeibuka nakundi ya aina tofauti,yenye kumuunga mkono mh. Rais na Serikali yake na yenye kupinga na kupotosha mazuri yake. Watz tuna kila sbb ya kuunga mkono jitihada na harakati zote za mh. Rais zenye kurudisha imani kwa wananchi kwa serikali yake na chama chake Ccm.
Huyu ndie kiongozi tuliyemuitaji na ameletwa na mungu kuikomboa tz na kuwafanya wananchi wa tz waweze nufaika na rasilimali za nchi yao hvyo tuna kila sbb ya kumuombea, kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote Rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuri.
Hapa kazi tu.
Huyu ndie kiongozi tuliyemuitaji na ameletwa na mungu kuikomboa tz na kuwafanya wananchi wa tz waweze nufaika na rasilimali za nchi yao hvyo tuna kila sbb ya kumuombea, kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote Rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuri.
Hapa kazi tu.