MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Habari wanajf,
Muda huu niko eneo la tukio, Magreth Sitta amewakusanya wenyeviti wa vijiji na vitongoji wa kata ya Songambele akiwataka wamchague kuwa mgombea wa ubunge kwa tiket ya CCM.
Mbaya zaidi amegawa rushwa kwa kuwapa viongozi 20000 Sh kila mmoja,viongozi hao wametoka vijiji vya Ukwanga,Jionenee, Igunguli,Songambele yenyewe.
Huyu mama anataka kumrithi mume wake kiti cha ubunge.Katika zoezi hilo ameshirikiana na Diwani wa kata ya Songambele bw ELIA KAFWENDA.
Nimeshuhudia mwenyewe na nilizamia kikao.
Update
Katika zoezi hilo eti anasema yeye anauzoefu sababu amewahi kuwa waziri wa elimu,rais wa CWT pia eti anasema yeye ndo kapigania kuundwa kwa tume ya waalimu bungeni. Pia kasema eti anawajali vijana na vionhozi kwakuwa amewanunulia viongozi wa mashina baiskeli.
Pia amethibitisha kuwa katika michezo ya UMISETA kuwa alitoa rushwa ya jez na mipira.
Mbaya zaidi eti amesema yeye alijenga hostel za waschana shuleni kitu ambacho siyo kweli.
Huyu mama kwakweli anjisifu waziwazi kwa rushwa pia amewaahidi kuwa amewaandalia fungu la kutosha, na amekuwa na wapambe akiwemo mwenyekiti wa UWT kata ya songambele pamoja na mumewe mzee aliyejitambulisha kwa jina la Simon Ntamogwa.
Muda huu niko eneo la tukio, Magreth Sitta amewakusanya wenyeviti wa vijiji na vitongoji wa kata ya Songambele akiwataka wamchague kuwa mgombea wa ubunge kwa tiket ya CCM.
Mbaya zaidi amegawa rushwa kwa kuwapa viongozi 20000 Sh kila mmoja,viongozi hao wametoka vijiji vya Ukwanga,Jionenee, Igunguli,Songambele yenyewe.
Huyu mama anataka kumrithi mume wake kiti cha ubunge.Katika zoezi hilo ameshirikiana na Diwani wa kata ya Songambele bw ELIA KAFWENDA.
Nimeshuhudia mwenyewe na nilizamia kikao.
Update
Katika zoezi hilo eti anasema yeye anauzoefu sababu amewahi kuwa waziri wa elimu,rais wa CWT pia eti anasema yeye ndo kapigania kuundwa kwa tume ya waalimu bungeni. Pia kasema eti anawajali vijana na vionhozi kwakuwa amewanunulia viongozi wa mashina baiskeli.
Pia amethibitisha kuwa katika michezo ya UMISETA kuwa alitoa rushwa ya jez na mipira.
Mbaya zaidi eti amesema yeye alijenga hostel za waschana shuleni kitu ambacho siyo kweli.
Huyu mama kwakweli anjisifu waziwazi kwa rushwa pia amewaahidi kuwa amewaandalia fungu la kutosha, na amekuwa na wapambe akiwemo mwenyekiti wa UWT kata ya songambele pamoja na mumewe mzee aliyejitambulisha kwa jina la Simon Ntamogwa.