Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 29
Nimeona kuna ujenzi wa Bar Katika eneo la Botanic Garden ya Magomeni, Wahusika Halmashauri ya wilaya na Maliasili mnalionaje swala hili lina manufaa kwa wakazi wa Jiji la dsm. Faida Kubwa ya baa ni bora kuliko kuwa na Bustani ya kupumzikia na kuleta hewa nzuri kwa wakazi?