WanaJF nimesikiliza kipindi cha gumzo asubuhi kuna mtangazaji anajiita Meshack nzowa anatamka maneno makali ya kuwashambulia madaktari na wanaharakati hadi inakera sana. Anasema katika hotuba ya jana Rais alitakiwa kuwakoromea tu kwa staili aliyotumia kwa akina Mgaya badala ya kuwabembeleza na kwamba angewataja kwa majina akina mama Nkya na Kijo Bisimba kwamba ndo walichochea madaktari wagome.
Hivi ni sahihi kuwashambulia madaktari kisa wameamua kurudi kazini na kuanza kukejeli role ya wanaharakati katika kutafutia ufumbuzi mgogoro huu.
Au nyie mnalionaje hili jamani.
Hivi ni sahihi kuwashambulia madaktari kisa wameamua kurudi kazini na kuanza kukejeli role ya wanaharakati katika kutafutia ufumbuzi mgogoro huu.
Au nyie mnalionaje hili jamani.