MAGEREZA: Si kweli kwamba mfungwa akihukumiwa miaka 30 basi itahesabika usiku na mchana

Askari wa Magereza ni rafiki sana wa wafungwa. Askari Magereza ni tofauti kabisa na Polisi. Askari magereza ni kati ya makundi yanayotambua kwamba maisha hayana mwenyewe na alipo mfungwa basi kesho anaweza akawepo yeye. Tofauti kabisa na Polisi, Polisi wajuacho ni wao ni wao, na wanajua kwamba hakuna meingine zaidi yao.
Anayesababisha magereza/jela iwe na picha iliyojengeka kwa jamii ni wafungwa wenyewe na viherehere manyapala.
Otherwise heshima kwenu askari magereza, naikubali sana kazi yenu ni nzuri kwa kweli.
Ila kabla sijaondoka nina kaswaki ka kizushi. Hivi ni kwa nini ni nadra sana kukosa askari wenu kadhaa wakifuga bata kwenye makambi na kota zenu? Kuna mahusiano gani kati ya bata na Magereza?


Yaani umesema kweli kabisa Askari magereza very friendly sijui kwanini................. hawana majishauo kabisa naungana na wewe. hilo la bata hapana sijui
 
Askari wa Magereza ni rafiki sana wa wafungwa. Askari Magereza ni tofauti kabisa na Polisi. Askari magereza ni kati ya makundi yanayotambua kwamba maisha hayana mwenyewe na alipo mfungwa basi kesho anaweza akawepo yeye. Tofauti kabisa na Polisi, Polisi wajuacho ni wao ni wao, na wanajua kwamba hakuna meingine zaidi yao.
Anayesababisha magereza/jela iwe na picha iliyojengeka kwa jamii ni wafungwa wenyewe na viherehere manyapala.
Otherwise heshima kwenu askari magereza, naikubali sana kazi yenu ni nzuri kwa kweli.
Ila kabla sijaondoka nina kaswaki ka kizushi. Hivi ni kwa nini ni nadra sana kukosa askari wenu kadhaa wakifuga bata kwenye makambi na kota zenu? Kuna mahusiano gani kati ya bata na Magereza?
mabaki ya chakula yapo mengi maoni 2lakini
 
Kanuni ya kifungo iko hivi
Kila mfungwa hupata msamaha wa kifungo isipokua wafungwa hawa
1. Wafungwa wa kunyongwa
2. Wafungwa wa maisha.

Sasa ili ujue mhusika(mtu aliyehukumiwa) atafungwa miaka mingapi chukua 2÷3 zidisha na kifungo chake.

Kwa mfano No1; Lulu amefungwa miaka 2.
2/3*2=1.3333
Maana yake atafungwa mwaka mmoja na miezi minne

Mfano No2: mtu aliyebaka akifungwa miaka 30 maana yake atatumikia miaka 20 jela. Hesabu ni kama hapo juu 2/3*30=20(miaka)

Hizo stori za kuhesabu usiku na mchana ni stori tu achana nazo.

Kila mwaka mmoja huwa wanatoa miezi minne
 
Yaani umesema kweli kabisa Askari magereza very friendly sijui kwanini................. hawana majishauo kabisa naungana na wewe. hilo la bata hapana sijui
Nimecheka mno kuhusiana na ufugaji wa bata aiseee wanafuga sana
 
Maisha ya jela yanapaswa kua tofauti na uraiani, na maisha ya jela yanatokana na hali halisi ya uchumi wa nchi ndio maana jela ya USA ni tofauti na jela ya Tanzania kwakua hata uchumi hatulingani

Maana yake endapo maisha ya jela (Tz) yatakua mazuri kama maisha ya jela (USA) ni kwamba hayo maisha yatakua mazuri kuliko maisha ya uraiani (TZ) jambo litakalopelekea watu kutamani kuishi jela kuliko uraiani. Mwisho wa siku serikali italazimika kuingia gharama kubwa kuwahudumia wafungwa kuliko raia wasio na makosa.

Kingine nchi zetu bado ziko tabaka la chini kiuchumi, ni kawaida sana kwa nchi kama yetu leaders kua corrupt na watu hufungwa kwakua kesi zinatengenezwa watu wapate pesa, na wanaofungwa ni maskini ambao hata faini hawawezi kujilipia. Hii inapelekea msongamano mkubwa magerezani.

Pia wananchi wana hali ngumu kuanzia elimu,uelewa mpaka maisha, wanajikuta wanaingia kesi za kijinga kama kuiba kuku na vitu vya kijinga, matokeo yake wanaishia jela.

Ntarudi baadae mkuu
Umeongea ukweli mtupu,jela pangekuwa pazuri kuliko uraiani kila mtu angetaka kwenda
 
Kanuni ya kifungo iko hivi
Kila mfungwa hupata msamaha wa kifungo isipokua wafungwa hawa
1. Wafungwa wa kunyongwa
2. Wafungwa wa maisha.

Sasa ili ujue mhusika(mtu aliyehukumiwa) atafungwa miaka mingapi chukua 2÷3 zidisha na kifungo chake.

Kwa mfano No1; Lulu amefungwa miaka 2.
2/3*2=1.3333
Maana yake atafungwa mwaka mmoja na miezi minne

Mfano No2: mtu aliyebaka akifungwa miaka 30 maana yake atatumikia miaka 20 jela. Hesabu ni kama hapo juu 2/3*30=20(miaka)

Hizo stori za kuhesabu usiku na mchana ni stori tu achana nazo.
shikamoo kwa ufafanuz
 
Back
Top Bottom