Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
I am just trying to be realistic!
Hawa viongizi nao wanamaisha kama sisi, wanahitaji kustarehe kama sisi pindi pesa zinapotutembelea. Hivi wewe tukikupa gari utaacha kumpitisha mtoto wako shuleni kabla ya kwenda kazini kisa sio matumizi ya ofisi?
I am principle based and not rule based! Ukiwa mtu wa uhalisia, maisha yako yatakuwa ya heri na unafuu zaidi. Kuna sheria na taratibu nyingi, nyingine hazifuatwi na zimekuwa dormant kwani sio haki na kila mtu analijua.
ulichoandika ni Africa labda na baadhi ya mabara machche duniani
Kitu kikiwa cha Umma basi taratibu na sheria walizojiwekea kwa watumishi wake zitahakikishwa zinafuatwa kivyovyote vile,,,
Ndio maana waadilifu wanaendelea na sisi wenye mawazo ya kufikiria matumbo yetu tuko pale pale