Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Make Wewe ni Mwanamke Olewa na Fundi wa Garage kukabiliana na Changamoto as kipindi hicho.
Kama wewe ni Mwanaume jitahidi upate namna za simu za mafundi kadhaa
 
Nakushauri nunua rav 4 old model... Kwa hiyo hela unapata yenye milleage ndogo zinadumu sana, au jichange nunua new model....
Gharama za gari si ununuzi tu inatakiwa ujumuishe na uendeshaji na gharama ya mafuta ni moja ya sehemu tu, yakubidi uangalie gharama za maintenance na fixed service...
Km ni mwenzangu na mie kamata rav 4
 
Mnaoponda kuhusu Nissan X trail mmezoea vya kunyonga, Nissan X trail ni gari nzuri sana mimi ninayo nina mwaka toka niinunue, hizi gari zinahitaji matunzo tuu utaifurahia, spare zake nyingi ni ghali kidogo lakini ni original na ukiifunga ni mkataba hakuna spare fake. Tatizo lolote linalojitokeza kwenye hizi gari hasa katika mfumo wa engine lazima computer ihusike kujua tatizo sio ulete fundi aanze kubahatisha tatizo la engine ni computer tuu ndo itatoa majibu sahihi. Kiujumla Nissan haitaji longolongo katika service na matengenezo so mtoa post chukua hiyo gari usiogope maneno ya waliozoea vya kunyonga.
 
Nina Xtrail mwaka wa nne sasa. Cha muhimu ni umpate fundi permanent na anayejua. spea zake ni gharama lakini ukiifunga utasahau kwa safari ndefu ni nzuri wala huchoki
 
Gari za Nissan sio rafiki na vijana tunaoanza maisha coz running and maintainance cost zake zipo juu sana!
Sasa kama unatafuta ushauri mzuri ni vyema usinunue hio gari mkuu na uchague mbadala wake kwa toyota hata kluger sio mbaya ila kama unatafuta sifa kwa demu wako nunua ije ikuvue boxer siku za usoni ikifa suspension tu maana ndio ugonjwa mkubwa wa nissan!
 
Wadau nimejichanga toka 2014 mpaka leo nimetimiza lengo la kama 8000 USD nataka kuagiza Nisaan X-trail toka japan. Mwenye ujuzi wa hiz gari msaada tafadhali. Vipi ulaji wa mafuta, spea, ugumu kwa barabara za bonyokwa hukoooo...
habari mm ni wakala wa forodha tuna deals na kuimport na kuexport magari toka japan to tanzania tunaweza kukutafutia gari zuri kwa gharama nafuu karibu 0716561026
 
Make Wewe ni Mwanamke Olewa na Fundi wa Garage kukabiliana na Changamoto as kipindi hicho.
Kama wewe ni Mwanaume jitahidi upate namna za simu za mafundi kadhaa
Ndani ya wiki moja amesha fungua na garage yake hapo nyumbani kwake! Na ndani ya mwezi tayari anakuwa na uwezo wa kushusha engine na kuifumua yote na kuirudishia!!
 
Ndani ya wiki moja amesha fungua na garage yake hapo nyumbani kwake! Na ndani ya mwezi tayari anakuwa na uwezo wa kushusha engine na kuifumua yote na kuirudishia!!
Hahaha! Niliwahi kumiliki hicho kipando ilikuwa kabla sijakiwasha kuanza safari natest namba ya fundi wa karibu wa maeneo ninayokwenda kwa kuwa chochote kinaweza tokea!
 
Natamani kujua hili pia. Pamoja na voltz aliyosema mdau TO2004
Naijua Voltz kwa kiwango chake. Naweza kukushauri uichukue coz kwa ukubwa haitofautiani sana na Xtrail.

Voltz ilitengenezwa kwa corabollation ya Toyota na General Motors, mwaka 2002 to 2004. Zilitengenezwa units 10,000 tu. Ila usiogope kuhusu spare parts coz inaingiliana na corolla nyingi tu kama Allex, Auris, RunX, corolla saloon etc.

Ina engine ya displacement 1.8L either 2ZZ_GE au 1ZZ_FE zote i4. Ni four wheel drive na hiyo engine unapata 118hp. So ata uko ulipokutaja kuwe na milima au matope usiwe na wasiwasi
Nimewahi endesha hapa Dar kama Mwezi mmoja. Ulaji wake wa mafuta kwa hapa Dar ni 8/9km kwa lita. Highway inafika hadi 11km kwa lita. Sio paperwork I traveled with her Dar to Dodoma once.

Ina shape nzuri na ndani ipo comfortable sana. Handling poa sana.

48373d81304dd83fda63cb090dac758a.jpg


5eca222f267bbbea94cefc4083674992.jpg


7d1619ae9789e8a7f02b70a814b72607.jpg

Natamani kujua hili pia. Pamoja na voltz aliyosema mdau TO2004

Natamani kujua hili pia. Pamoja na voltz aliyosema mdau TO2004

Natamani kujua hili pia. Pamoja na voltz aliyosema mdau TO2004
 
Naijua Voltz kwa kiwango chake. Naweza kukushauri uichukue coz kwa ukubwa haitofautiani sana na Xtrail.

Voltz ilitengenezwa kwa corabollation ya Toyota na General Motors, mwaka 2002 to 2004. Zilitengenezwa units 10,000 tu. Ila usiogope kuhusu spare parts coz inaingiliana na corolla nyingi tu kama Allex, Auris, RunX, corolla saloon etc.

Ina engine ya displacement 1.8L either 2ZZ_GE au 1ZZ_FE zote i4. Ni four wheel drive na hiyo engine unapata 118hp. So ata uko ulipokutaja kuwe na milima au matope usiwe na wasiwasi
Nimewahi endesha hapa Dar kama Mwezi mmoja. Ulaji wake wa mafuta kwa hapa Dar ni 8/9km kwa lita. Highway inafika hadi 11km kwa lita. Sio paperwork I traveled with her Dar to Dodoma once.

Ina shape nzuri na ndani ipo comfortable sana. Handling poa sana.

48373d81304dd83fda63cb090dac758a.jpg


5eca222f267bbbea94cefc4083674992.jpg


7d1619ae9789e8a7f02b70a814b72607.jpg
Asante mkuu, ila kwa route za mjini fuel consuption ni kama iko juu.
 
Asante mkuu, ila kwa route za mjini fuel consuption ni kama iko juu.
hapana mkuu, ukiifanyia matengenezo inafika zaidi ya hapo. naona ipo mitaa sawa na wakina Altezza, na baadhi ya 2.0L engine cars.

Hapo niliposema huo ulaji nilicalculate siku moja kulikua na heavy traffic Buguruni. nadhani kwa Foreni za kawaida unaweza piga 10km/L.
 
Back
Top Bottom