hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
so sad" Hakika ... ndio shida ya kuwa na wateuliwa vichaa", kama baba yao stone cold"...
wabongo tumezoea shida " maisha ya luxury na sisi wapi na wapi that's why tunashindwa kuendesha miradi yote yenye manufaa kwa Taifa hili ... ni sawa sawa na rai aliyezoea Kula mihogo .makande .ugali" siku ukija kumpa piza au mandi ale Lazima ataharisha tu
wabongo tumezoea shida " maisha ya luxury na sisi wapi na wapi that's why tunashindwa kuendesha miradi yote yenye manufaa kwa Taifa hili ... ni sawa sawa na rai aliyezoea Kula mihogo .makande .ugali" siku ukija kumpa piza au mandi ale Lazima ataharisha tu