- Thread starter
- #101
Kaka, hebu nipe mwongozo, Mitsubishi Rosa nitapata kwa Tsh ngapi? na je nikiisha toa Advance naweza kupewa hilo Gari, well in case mtaniruhusu kua na hilo Gari, baada ya muda gani natakiwa kumaliza deni?
Mkuu tunayo rosa ya mwaka 95 ambayo inauzwa 29.7million unaweza kutoa advance ya nusu bei lakin hyo balance utatakiwa ulipe baada ya wk 3 gari ikiwa tayar. Karibu mkuu