Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, CCM imekiri hadharani kuwa imejaa magamba, na imeanza kuyavua.
Lakini tujiulize Magamba yaliyopo ni CC na sektretarieti peke yake?
Mimi naona kuwa Gamba kubwa kabisa, tena lililofunika sehemu ya kichwa hadi machoni ni Mwenyekiti, ambaye utendaji wake dhaifu serikalini unasababisha chama kionekane cha hovyo!
Hivi Sophia Simba kweli sio Gamba nene sana ambalo limemaliza eneo lote la Jinsia?
R1 Nae ni Gamba la ajabu kabisa ambalo bila kuvuliwa chama hakitembei
Mawaziri wote nao ni magamba tu tena haya ndio mabaya kwani watu wanaihukumu CCM kutokana na performance ya serikali kwa ngio Chama kinachoshikilia serikali.
Ki ukweli ni kuwa CCM imeundwa na mkusanyiko wa magamba mengi, na hakuna namna ya kuyavua. You are finally dieing.
Lakini tujiulize Magamba yaliyopo ni CC na sektretarieti peke yake?
Mimi naona kuwa Gamba kubwa kabisa, tena lililofunika sehemu ya kichwa hadi machoni ni Mwenyekiti, ambaye utendaji wake dhaifu serikalini unasababisha chama kionekane cha hovyo!
Hivi Sophia Simba kweli sio Gamba nene sana ambalo limemaliza eneo lote la Jinsia?
R1 Nae ni Gamba la ajabu kabisa ambalo bila kuvuliwa chama hakitembei
Mawaziri wote nao ni magamba tu tena haya ndio mabaya kwani watu wanaihukumu CCM kutokana na performance ya serikali kwa ngio Chama kinachoshikilia serikali.
Ki ukweli ni kuwa CCM imeundwa na mkusanyiko wa magamba mengi, na hakuna namna ya kuyavua. You are finally dieing.