CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Wakuu kuna Rafiki yangu amenitonya kwamba, Rafiki yake ambaye ni mtoto wa Kigogo mmoja ameitwa na Baba yake ghafula leo asubuhi na inasemekana amapewa majukumu ya kusimamia kubadili majina ya umiliki wa mali zao ikiwemo Mashamba, Majumba,Magari na vitega uchumi vingine, na inabidi aende vijijini kwao awandikishe ndugu zao wote hizo mali. Na amemabiwa ndani ya mwezi huu awe amemaliza kusajili mali hizo,