Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Magaidi wa Taliban walipovaa nguo za kike | Polisi nchini Afghanistan wamewatia mbaroni wanamgambo saba wa Taliban ambao walikuwa wakijificha wasikamatwe kwa kuvaa nguo za kike kama vile magauni na vilemba. |
Wanamgambo saba wa Taliban wamekamatwa kwenye mji wa Mehterlam mashariki mwa mji wa Kabul, wakiwa wamevaa nguo za kike kuepuka kunaswa na wanajeshi wa Marekani. Tukio hilo limetokea huku kukiwa na hali ya wasiwasi mkubwa wa matukio ya kigaidi kufuatia kitendo cha mwanajeshi wa Marekani Sajenti Robert Bales kuwaua kwa kuwapiga risasi watu wazima wanane raia wa Afghanistan na jumla ya watoto tisa. Hivi karibuni jeshi la Marekani liliunda kikosi maalumu kinachoitwa "guardian angels" ili kuwalinda wanajeshi wa Marekani wanapokuwa wamelala usiku. Polisi nchini Afghanistan wamewatia mbaroni wanamgambo saba wa Taliban ambao walikuwa wakijificha wasikamatwe kwa kuvaa nguo za kike kama vile magauni na vilemba. Polisi nchini Afghanistan wamewatia mbaroni wanamgambo saba wa Taliban ambao walikuwa wakijificha wasikamatwe kwa kuvaa nguo za kike kama vile magauni na vilemba. Polisi nchini Afghanistan wamewatia mbaroni wanamgambo saba wa Taliban ambao walikuwa wakijificha wasikamatwe kwa kuvaa nguo za kike kama vile magauni na vilemba. Polisi nchini Afghanistan wamewatia mbaroni wanamgambo saba wa Taliban ambao walikuwa wakijificha wasikamatwe kwa kuvaa nguo za kike kama vile magauni na vilemba. |
NIFAHAMISHE news in photos .: Habari na picha :.