Wadau,
Nianze kwa kutoa Pole kwa wenzetu wote waliofikwa na Maafa, pia niwapongeze waliosaidia juhudi za Uokoaji na wanaoendelea kuwasaidia na kuwafariji Wahanga wa Janga hili.
Kisha niwapongeze Watanzania kwa juhudi zao za kupenda kujijengea Nyumba zao bila kusubiri kufanyiwa hivyo.
Sasa niulize swali, hili SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) Liko wapi? Hivi liliundwa Kwa Madhumuni gani? Je linastahili lawama wakati wa matukio kama haya?
Naomba tujadili.
Nianze kwa kutoa Pole kwa wenzetu wote waliofikwa na Maafa, pia niwapongeze waliosaidia juhudi za Uokoaji na wanaoendelea kuwasaidia na kuwafariji Wahanga wa Janga hili.
Kisha niwapongeze Watanzania kwa juhudi zao za kupenda kujijengea Nyumba zao bila kusubiri kufanyiwa hivyo.
Sasa niulize swali, hili SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) Liko wapi? Hivi liliundwa Kwa Madhumuni gani? Je linastahili lawama wakati wa matukio kama haya?
Naomba tujadili.