Mafuriko Dar, mvua kali ikiambatana na radi yanyesha, umeme wakatwa

wanasema tumeweza na tunasonga mbele...

Tena wanasema huku wamebetua vifua vyao mbele bila hata haya.

Wanatuonyesha makomandoo uchwara wakionyesha umahiri wao wa ushupavu! Nilicheka sana siku ile maana hata Al-Qaeda wana video yao ikiwaonyesha wakila tizi kama hao makomandoo wetu walivyokuwa wanaonyesha.
 
Halafu Boss, kuna wengine hawana vingi maishani. Usije kuta huyo kuku ndicho huyo mtu anachomiliki zaidi ya nguo alizozivaa. Tanzania tuna dhiki bana.

Ili uweze kupata picha kamili ya jinsi tulivyo na dhiki, yabidi mtu utembelee nchi zingine.

....unaweza kufika sehemu na kukuta hali ya watu inasikitisha kupita kiasi. Halafu ukikaa kuongea nao kuhusu maisha yao ya kila siku kama huna roho ngumu unaweza kutokwa na machozi.
 
Tena wanasema huku wamebetua vifua vyao mbele bila hata haya.

Wanatuonyesha makomandoo uchwara wakionyesha umahiri wao wa ushupavu! Nilicheka sana siku ile maana hata Al-Qaeda wana video yao ikiwaonyesha wakila tizi kama hao makomandoo wetu walivyokuwa wanaonyesha.

mimi naamini kabisa kutoka moyoni
kama wanasansi wa kimataifa wakija kufanya 'research ya bongo za viongozi wetu zinazofanya kazi'
watagundua vitu vipya kabisa....new inventions
 
samtaim ni panic jibaba! mwenyewe kuna siku mjengo ulilipuka nikatoka nimebeba begi la nguo wakati mwenyewe sina nguo mwilini, ile naibuka nje ya mjengo kuna mdada Fire n rescue ndo akanishtua kuwa dushelele inaonekana.
 
ivi bado inaendelea kunyesha?



At the moment sipo Dar, Nipo mkoani... Hali ni mbaya... mbaya zaidi ikinyesha usiku na wezi ndio wameshamiri, Wengi wamelalamika kuibiwa; Ukiingiliwa hata jirani hawezi kua na habari kua umeingiliwa, nyumba zimezolewa... watu wamepoteza maisha na nimeshangaa sijasikia habari yao ikitangazwa... (may sababu sijatulia na nipo en-route)
 
mimi naamini kabisa kutoka moyoni
kama wanasansi wa kimataifa wakija kufanya 'research ya bongo za viongozi wetu zinazofanya kazi'
watagundua vitu vipya kabisa....new inventions

Boss, usiwanyooshee vidole vya lawama viongozi tu. Rejea maneno ya Mzee Es aka Sauti ya Umeme aka Le Mutuz Baharia lol.

Viongozi wetu ni akisi ya sisi wenyewe wananchi.
 
poleni wana-dar
ila hatuna vikosi vya uokoaji wa dharura?ivi vile vikosi vya wanamaji siku ya sherehe za uhuru?au bado wanajipanga tusubiri
ila dar miundo-mbinu ni noumer yani nyumba zimebaba,mitaro midogo,barabara feki yani tabu tupu
magwaride wanalipwa posho ndo maana wanachangamkia.JWTZ mpo wapi mnakula mishahara bure wakati hizi ndo kazi zenu.au mnasubiri kwenda darfur mkalipwe na UN?
 
  1. Kuku (maana msaada wa msosi utachelewa kufika, kumbuka wakati wa mabomu ya Gongo la Mboto)
  2. Maji ya kunywa (sababu ni ile ile)
  3. Mbwa (ni familly member)
 
duh! ila ukiangalia wanachekesha ila ukitafakari utawaonea huruma mana nina uhakika ukimuuliza alichokibeba aweza sema mwanangu huyu ..............kumbe wakati mafuriko yanawabeba mwanae alikua mbali kidogo kuku ndio alikua karibu basi yy kwa kiwewe kila kabeba kuku na kuku naye kimyaaaaaaaaaaa
 
Boss, usiwanyooshee vidole vya lawama viongozi tu. Rejea maneno ya Mzee Es aka Sauti ya Umeme aka Le Mutuz Baharia lol.

Viongozi wetu ni akisi ya sisi wenyewe wananchi.

aisee hapo utafanya tufungue mjadala mwingine
kama chaguzi zingekuwa huru na fair ungesema hivyo
but hazipo hivyo
wananchi 'hawana jinsi' na viongozi hawa
ni kama 'tunaongozwa kwa nguvu na lazima'
usipowachagua wataongoza,ukiwachagua wataongoza
 
jamani kimbilieni mkoani huku dar twachieni wenyewe.pia serikali vip mbona ha2oni juhudi zenu au mnataka 2andamane
 
aisee hapo utafanya tufungue mjadala mwingine
kama chaguzi zingekuwa huru na fair ungesema hivyo
but hazipo hivyo
wananchi 'hawana jinsi' na viongozi hawa
ni kama 'tunaongozwa kwa nguvu na lazima'
usipowachagua wataongoza,ukiwachagua wataongoza

See, this is the attitude of many! The defeatist attitude. This defeatism is like a highly malignant form of cancer.
 
See, this is the attitude of many! The defeatist attitude. This defeatism is like a highly malignant form of cancer.

sio just attitude
watu wana vote kuwaondoa kila siku
ni kwamba tunalalamika na still tunachukua actions uchaguzi ukifika
hata kama results hazileti matumaini
 
Back
Top Bottom