Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,252
- 5,319
Haha naona uzi sasa umetawaliwa na watu wa proffesional ....hapa ndipo utajua umuhimu wa shule
Hapa ni story za TMA tu ndio zimetamalaki
Ewiiii
Haha naona uzi sasa umetawaliwa na watu wa proffesional ....hapa ndipo utajua umuhimu wa shule
Hadi leo hujafika tuh ulipotumwa?Baba kanituma
Na hakuendeki kirahisi siku hiziHapa ni story za TMA tu ndio zimetamalaki
Ewiiii
Haha naona uzi sasa umetawaliwa na watu wa proffesional ....hapa ndipo utajua umuhimu wa shule
Mkuu mshaitwa kureport?Kwahelini wakuu ngoja tukapige jalamba
Kitambo sanaaVp baba kantuma washareport?
Mkuu as we speaking, kuna kundi la askari lipo tau likifanya masailiano kwaajili ya officer cadet course ambapo among them kuna specialists (doctors) 72..ukweli ni upi mkuu
Kweli mkuuu uko sahihiMkuu as we speaking, kuna kundi la askari lipo tau likifanya masailiano kwaajili ya officer cadet course ambapo among them kuna specialists (doctors) 72..
Dah kna ndugu yangu bado anapgwa danadanaKitambo sanaa
Mkuu as we speaking, kuna kundi la askari lipo tau likifanya masailiano kwaajili ya officer cadet course ambapo among them kuna specialists (doctors) 72..
Naomba nikuPM mkuu km hutojalMakutopora moja
KaribNaomba nikuPM mkuu km hutojal
Nasubiri jibuhivi walioomba NGOME/MMJ na mkapigiwa simu mliomba lini na mlikua mmesomea nini na level ipi?
Mkuu ww unaenda kama Professional ?Makutopora moja
Ndio Mkuuu nilifanya application ngomeNasubiri jibu
Mkuu ww unaenda kama Professional ?
Shukrani mkuu swali lingine mkuu kama hutojaliNdio Mkuuu nilifanya application ngome
siku hizi kuna changes mkuu hata hao unaosikia wanafanya usaili wa cadet walianza na pre cadet pale ruvu kama sikosei
Toka mwezi wa pili mkuuNdio Mkuuu nilifanya application ngome
siku hizi kuna changes mkuu hata hao unaosikia wanafanya usaili wa cadet walianza na pre cadet pale ruvu kama sikosei
Toka mwezi wa pili mwaka huuu nilituma barua ngomeniShukrani mkuu swali lingine mkuu kama hutojali
Uliomba lini ? maana haya mambo usipokuwa mfuatiliaji utaachwa kweli