Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,408
- 1,157
KaribuSawa mkuu, haya mambo ya kijeshi wengine hatujui kitu.. Ndo mnatufungua kidogo.
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
KaribuSawa mkuu, haya mambo ya kijeshi wengine hatujui kitu.. Ndo mnatufungua kidogo.
Nani raia? walishanitoa uraia mda mrefuMmoja wapo wewe unaekurupuka kushutumu bila kusoma na kuelewa nilicho maanisha. Ktk maandishi yangu umeona nimemnyooshea mtu kidole kuwa hana utimamu wa akili?? nimemzungumzima askari na si raia kama wewe. Lean to read bro.
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
Mkoa gani huo MkuuNasikia watu wameanza pigiwa simu
Duuuuuh, watupe information hao watuNasikia watu wameanza pigiwa simu
acha utani bwana,watapigia wangapi sasa?Nasikia watu wameanza pigiwa simu
Inabid upitie tena jkt kwa kijana wa kujitoleaSasa mtu kama mimi nipo chuo sasa ivi namaliza mwezi wa saba shahada na nina mpango niunge jeshi baada ya chuo, lakini tayari nilipita JKT kwa mujibu wa sheria (namaanisha huu utaratibu uliorudishwa wa kumaliza form six unaenda jkt miezi mitatu ), inamaana sisi jeshini hatuendi au kuna utaratibu mwingine? Tafadhali mwenye fununu kuhusu hili msaada....
Hakuna taarifa mpka nowhalooooow makuruta mpo kambin bado tu hamjanyang'anywa simu izo
nyie ni wazalendo kweli,mbona mna mzuka sana?