Kijana Angaliaa na matamshi unayoandika... wakikwambia tupeleke zinapouzwa hizo fomu utajibu nin?
Wanampata kirahisi sana MkuuWatampataje na hapa JF watu ni anonymous
Kwani vipi mkuu?haya sasaaaaa kazi kwenuu wazalendo
Una uhakika na unachoongea Mkuu?hii intake haipo imefutwa
usubiri sasa bora muende vyuo mkasome muongeze skills hakuna depo mpaka next yearUna uhakika na unachoongea Mkuu?
Hahahahaaa vjana wakikosa nafac wana shida sana, kuwakatisha wenzao tamaa.hii intake haipo imefutwa
Kana acha Ujinga Mura.usubiri sasa bora muende vyuo mkasome muongeze skills hakuna depo mpaka next year
Watoto wadogo kaka Shefwa hao achana nao.Hahahahaaa vjana wakikosa nafac wana shida sana, kuwakatisha wenzao tamaa.
hivi huwa mnafaidika nini na upotoshaji mnaoufanya?wazanzibar wanaingia tar29 mwez huu
hyo taarifa ni ya kwel mkuu kama una mawasiliano na mzanzbar uliza ila ni kweli na co upotoshajihivi huwa mnafaidika nini na upotoshaji mnaoufanya?
Hao jamaa huwa ni shidaaaKana acha Ujinga Mura.
Sisi tuko kitaa tunaendelea na maisha kama kawaida huku tukisubiria Tamko kutoka Sehemu husika na wewe fanya yako achana na sisi kabisaaa.
Wee na mwenzako Nanga ni Manyang'a tu hamna lolote.
Wee unaongea habari ya Intake kuwa next year kama nan
Umeulizwa?
Mnajifanya Wanajeshi na yule Fara mwenzako Ukute Ni Mgambo wa UKUTA ngoja wahusika wanawaona Ujinga mnaoandika andika hapa wakiwataka wanawadaba kama kuku wa kisasa.
Kama ni Wanajeshi kweli zingatieni ETHICS Za kazi yenu, na kama ni Manyang'a wa kitaa tu You need to be keen.
Wazee wa kazi nakaa nao naishi nao tena Seniors wanazingatia job ETHICS zao mpaka natamani na mimi Makanya Mtoto Mungu anijalie nije kuwa kama wao wala hawana shobo kama nyie watoto wa Mujibu mlivonashobo hapa.
Mafinga unaijua au unaiskia tumafinga
Mkuu thibitisha hzo taarifawazanzibar wanaingia tar29 mwez huu