Lj Mwambar
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 605
- 355
Mkuu vp umetoboa? Tukutane mkoani 4 mayuku musoma leo ndo interview maombi yenu jamani
Mkuu vp umetoboa? Tukutane mkoani 4 mayuku musoma leo ndo interview maombi yenu jamani
Mkuuuu tutwkua pamoja ,nakutakia kila la heriMara usail mkoa ni keshokutwa majaliwa wakuu tuombeane.......
maaan hili safwariiii acha tu..!!!!!!!
mkuu upo wilayagan vlee ?Mkuuuu tutwkua pamoja ,nakutakia kila la heri
nashukuru mungu kwani nlipita interview ya wilaya kesho ndo interview ya mkoa naimani kwa uwezo wake mambo yatuka poaMkuu vp umetoboa? Tukutane mkoani 4 may
Go hard Brother and God bless you.KINONDONI kesho tunafaya interview na kamati ya ulinzi wilaya
ThanksGo hard Brother and God bless you.
Mungu akutangulie!! Utafanikiwa mkuukesho usaili mkoa Mara
maombi yenu wakuu
Hongera sana .mkuu kesho tutaonana huko hukonashukuru mungu kwani nlipita interview ya wilaya kesho ndo interview ya mkoa naimani kwa uwezo wake mambo yatuka poa
Safi.kila la herikesho usaili mkoa Mara
maombi yenu wakuu
Umejipima wapi?Nna bp 120/80 wadau sjui iko poa au itazingua maana nshajipima kabisaa
Mkuu umeingiza mambo ya kitaalamu zaid hayo siez kuyajua .nmeendandispensari wakapimamwakanambianivo sa sjui kwa jeshi ni sawa au vp.ila dispensar wameniambia ni normalUmejipima wapi?
Kama umeweza kujipima basi unaelewa whether hiyo BP ni physiological au pathological
Mkuu umeingiza mambo ya kitaalamu zaid hayo siez kuyajua .nmeendandispensari wakapimamwakanambianivo sa sjui kwa jeshi ni sawa au vp.ila dispensar wameniambia ni normal
Asnte sana ,kuu.na leo ndo siku ya tukioMkuu nilielewa vibaya kuwa umejipima mwenyewe gheto
Yaa ni normal hiyo BP(120/80 hadi 140/90)
Kila la Kherikesho usaili mkoa Mara
maombi yenu wakuu
Makanya wewe vipi Mkuu!?Kila la Kheri
Niko kwenye DCM zenyu naelekea Ilala Kupeleka vikaguliwe vyeti ILA juzi mbio Pumzi ilikata Mura Kati ya watu 200+ wenye Degree wakachukuliwa watu kumi Tu wadada wa4 na Masela6 But Leo mambo yamekua tofauti.Makanya wewe vipi Mkuu!?