mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,418
- 7,032
Habari zenu!
Mafundi magari wa DSM hasa nyie wa vichochoroni (chini ya miti) miyeyusho sana.
Hamuelekezeki na mnakuwa wakali wakali sana hata kama mkiharibu kazi. Mna mambo ya kishamba sana.
Mna ujuaji mwingi mno hata kwenye vitu msivyovijua.
Kwanza wengi ni mafundi wa kufunga na kufungua pekee. Na gari ikiletwa inasumbua umeme, hamtaki kukiri kuwa hamuwezi. Mnaparanganya mpaka mnazidi kuongeza ugonjwa. At the end mnakuwa wakali baada ya kuharibu.
Kwa kilichonikuta kwa gari yangu, sipeleki tena gari chini ya mwembe. Majitu mabishi, kichwani elimu 0. Lugha na kauli ni mbovu za matusi matusi, mnafikiri mteja anayejielewa atarudi mara ya pili kwa kukuta mazingira ya kauli zenu mbovu?
Ningetukana bonge la tusi, ila acha nikae kimya. Jueni mnazingua mno.
Mafundi magari wa DSM hasa nyie wa vichochoroni (chini ya miti) miyeyusho sana.
Hamuelekezeki na mnakuwa wakali wakali sana hata kama mkiharibu kazi. Mna mambo ya kishamba sana.
Mna ujuaji mwingi mno hata kwenye vitu msivyovijua.
Kwanza wengi ni mafundi wa kufunga na kufungua pekee. Na gari ikiletwa inasumbua umeme, hamtaki kukiri kuwa hamuwezi. Mnaparanganya mpaka mnazidi kuongeza ugonjwa. At the end mnakuwa wakali baada ya kuharibu.
Kwa kilichonikuta kwa gari yangu, sipeleki tena gari chini ya mwembe. Majitu mabishi, kichwani elimu 0. Lugha na kauli ni mbovu za matusi matusi, mnafikiri mteja anayejielewa atarudi mara ya pili kwa kukuta mazingira ya kauli zenu mbovu?
Ningetukana bonge la tusi, ila acha nikae kimya. Jueni mnazingua mno.