mafuaa???

beibe nasty

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
1,640
523
jaman mi mafua yamenikaba hadi kichwa kinauma naumiia wapenz wanguu jaman sijui ntalala leo uwiiii
 
Kunywa maji ya uvuguvugu glass kubwa, kama uanayo asali weka kijiko kimoja unywe glass moja kila baada ya masaa 2
 
Ama ndio msimu wa mafua .mwenyewe hapa nimebanwa mafua jana nimekos ausingizi leo ndo pua zimeziba
imebidi nipate off day
Nimepata dawa lakini sioni nafuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom