beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
jaman mi mafua yamenikaba hadi kichwa kinauma naumiia wapenz wanguu jaman sijui ntalala leo uwiiii
Hahaaaa kingkong yupo mbali jaman uwiiiiWanasema eti ukiwa na mafua dawa yake eti mtafute wajina wako(beibe) eti yataisha!
Thank u dearKunywa maji ya uvuguvugu glass kubwa, kama uanayo asali weka kijiko kimoja unywe glass moja kila baada ya masaa 2
Poleeehauko peke yako.na mimi nina mafua na kichwa kinaniuma
Hahaaaa kingkong yupo mbali jaman uwiiii
Fimbo ya mbali haiui nyoka,tafuta substitute.
Kunywa maji ya uvuguvugu glass kubwa, kama uanayo asali weka kijiko kimoja unywe glass moja kila baada ya masaa 2
Kuna mtu kanambia niweke na limao ni sawa??