Ikitokea nimeigusa pua tu basi zinaanza kumiminika chafya nyiiingi hadi kero,
Nikipisha na mtu aliyejipulizia unyunyu tu, chafya zinanitoka si za nchi hii,
Shemeji yenu akiwa anakarangiza na ile harufu kunifikia, chafyaaaa.
Wakati mwingjne nikikaa tu, chafyaaa.
Nikiingia chumbani, chafya tu.
Mbaya zaidi, leo wakati najiandaa kupata cha asubuhi, ikaja chafya na mafua kabisa yakatoka hali iliyopelekea kuharibu morali ya upatikanaji wa cha asubuhi changu....nimesikitika sana.
Zamani sikuwa na hali hii kabisa, shida ni nini wadau?!!!! Kawaida hii?!!!!
Nikipisha na mtu aliyejipulizia unyunyu tu, chafya zinanitoka si za nchi hii,
Shemeji yenu akiwa anakarangiza na ile harufu kunifikia, chafyaaaa.
Wakati mwingjne nikikaa tu, chafyaaa.
Nikiingia chumbani, chafya tu.
Mbaya zaidi, leo wakati najiandaa kupata cha asubuhi, ikaja chafya na mafua kabisa yakatoka hali iliyopelekea kuharibu morali ya upatikanaji wa cha asubuhi changu....nimesikitika sana.
Zamani sikuwa na hali hii kabisa, shida ni nini wadau?!!!! Kawaida hii?!!!!