Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Wanajamii naomba msaada wenu wife anasumbuliwa na mafua ya mara kwa mara; yakimpata anatumia dawa anapona baada ya muda mfupi (siku 7 hadi 10) yanarudia tena.
Tiba yake ni nini?
Tiba yake ni nini?