Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Hi wanajamvi,
hivi haya mafrji ya BOSS yanatoka wapi, maana sikuhizi yamejaaa hapa Bongo, inaonekana yanauzika sana kushinda mengine. nimejaribu kuyafuatilia kwenye mtandao lakini wapi hii kitu haipo, lakini kwa nini in warant ya miaka 2 kama mengine!!? ina maana yana ubora?
Kija jamaa alikuwa ananifungua tongotongo kuwa haya mafriji meni yana inbuilt stabilizer, ni ya coil tofauti na mengine ya SAMSUNG na LG WP ambayo mengi ni ya fern!! Kuna member aliyewahi kuyatumia, isije ikawa tunanaunua majina ya makampuni LG na mengineyo!!
Asanteni kwa kunijuza
xp
hivi haya mafrji ya BOSS yanatoka wapi, maana sikuhizi yamejaaa hapa Bongo, inaonekana yanauzika sana kushinda mengine. nimejaribu kuyafuatilia kwenye mtandao lakini wapi hii kitu haipo, lakini kwa nini in warant ya miaka 2 kama mengine!!? ina maana yana ubora?
Kija jamaa alikuwa ananifungua tongotongo kuwa haya mafriji meni yana inbuilt stabilizer, ni ya coil tofauti na mengine ya SAMSUNG na LG WP ambayo mengi ni ya fern!! Kuna member aliyewahi kuyatumia, isije ikawa tunanaunua majina ya makampuni LG na mengineyo!!
Asanteni kwa kunijuza
xp