Mafisadi watashinda! - A somber look

Kama ni vita basi jeshi linalopenda mabadiliko( na wana CCM wachache wakiwemo) bila kujali itikadi ya chama linabidi litumie silaha na mbinu mpya.

Nina hakika wanajamii % chache sana tunatumia mtandao, %wachache sana hasa wale waliominywa kule vijijini na majimboni hawapati habari ( magazeti, press release)zakile kinachondelea jikoni.

I wish kungekuwa kuna vyama vya wanaharakati ( nje vyama vya siasa) vingeanzisha midahalo kama hii iliyopo jamii forum huko majimboni, vijijini. I wish jamii forum ingekuwa ni NGO kubwa yenye kuwekza kuwapeleka midahalo kama hii kwa wanachi na wenyewe kuchambua pumba na mchele

Ukweli vita hii mafisadi watashinda sio tu kwa sababu ulizozizatja bali pia watashinda sababu kwa upande mwingine wa shilingi wa Wanchi wengi HAWAJAWA WELL RIGHTLY, and CORRECCTLY INFORMED .

WEAKNESS hii ya wananchi kutokuwa na taarifa za kweli na sahihi Ni STRENGHTS yao hao KUPE.

Tunahitaji resouces zaidi ya vyama vya siasa. tunahitaji format midahalo kama hii iende nje ya TOVUTI. Na Tunahitaji kuwashirikisha wananchi wengi zaidi.
 
Kama ni vita basi jeshi linalopenda mabadiliko( na wana CCM wachache wakiwemo) bila kujali itikadi ya chama linabidi litumie silaha na mbinu mpya.

Nina hakika wanajamii % chache sana tunatumia mtandao, %wachache sana hasa wale waliominywa kule vijijini na majimboni hawapati habari ( magazeti, press release)zakile kinachondelea jikoni.

I wish kungekuwa kuna vyama vya wanaharakati ( nje vyama vya siasa) vingeanzisha midahalo kama hii iliyopo jamii forum huko majimboni, vijijini. I wish jamii forum ingekuwa ni NGO kubwa yenye kuwekza kuwapeleka midahalo kama hii kwa wanachi na wenyewe kuchambua pumba na mchele

Ukweli vita hii mafisadi watashinda sio tu kwa sababu ulizozizatja bali pia watashinda sababu kwa upande mwingine wa shilingi wa Wanchi wengi HAWAJAWA WELL RIGHTLY, and CORRECCTLY INFORMED .

WEAKNESS hii ya wananchi kutokuwa na taarifa za kweli na sahihi Ni STRENGHTS yao hao KUPE.

Tunahitaji resouces zaidi ya vyama vya siasa. tunahitaji format midahalo kama hii iende nje ya TOVUTI. Na Tunahitaji kuwashirikisha wananchi wengi zaidi.

Hii ni muhimu sana ktk kufanya mabadiliko kuelimisha wapiga kura
 
Mkjj, Mafisadi washinde mara ngapi ndugu yangu? Mbona wameshashinda siku nyingi tu!!! Kesi za EPA za bilioni 133 hatuzikii tena.

Rostam na Richmond kishashinda na kuuza mtambo wake na huku TANESCO wakiendelea kumlipa. Waliohusika na ufisadi wa rada bado wanapeta tu akina Vijisenti, Idrissa Rashid na wengineo.

Mafisadi wa Kiwira wala hawajaguswa na mgodi unadaiwa umerudishwa mikononi mwa Serikali na mafisadi wamelipwa "gharama" zao za kuhudumia mgodi huo, inadaiwa wamelipwa bilioni 10 lakini ni siri kali sana hii labda kainzi kafanye kazi ya kupata info zaidi.

Akina Jeetu, Subhash Patel, Manji na mafisadi wengine bado wanapeta tu na baada ya uchaguzi hapo October 31, 2010 kesi zao zitafutwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha.

Kwa hiyo kama utakavyoona mafisadi walishashinda siku nyingi sana na wengine sasa wanamwagiwa misifa na Kikwete kila kukicha. Ndiyo Tanzania yetu hiyo ya maisha bora kwa kila fisadi.
 
a. Wamejipanga vizuri zaidi kuliko wanaopinga ufisadi (well organized). Wanaopinga ufisadi they are a fragmented bunch!

asante kwa hii thread MM. nimekusoma vizuri tu na nadhani hii sababu ya kwanza inabeba hizo nyingine zote. hawa jamaa wako vizuri katika kila angle...kuanzia rasilmali watu mpaka material bila kusahau sabuni ya roho..PESA. ili kuwashinda ni kuwa na mipango ambayo itaweza kupambana na mipango yao...je tunayo? hapa MUNGU hana nafasi ikiwa wenyewe tuko shaghalabaghala kwani tabia ya MUNGU ni kusaidia waja pale wenyewe wanapokuwa mstari wa mbele kujisaidia...


Ninachosema kwa maneno mawili ni kuwa 'we are screwed!" (najua ni matatu!) hakuna matumaini, hakuna njia ya kutokea, na hakuna mashujaa wetu wa kutuongoza vitani.

they screwed us long time ago....tangu tulipowaachia wapitishe azimio la zanzibar..wakaiba uchaguzi wa znz na dsm mwaka 1995 bahati mbaya sana na mwalimu alikuwa hai...wakaiba mapesa kupitia kagoda mwaka 2000 lili Ben apite kwa kishindo...wakaiba tena kagoda 2005 ili Kikwete ashinde kwa tsunami...wakawa wamepata uhalali wa kufanya kila walitakalo kwa wasaa.

Huko tunakokwenda neutrality is not an option! Ni waoga na wasio na msimamo ndio watajifanya kuwa neutral wengine wetu itabidi tuchague upande au tukae kimya na kusubiri upande unaoshinda! aidha tuko kinyume na familia na himaya hii ya ufisadi (kwa vitendo siyo mawazo) au tuko sehemu ya familia hii na sisi tukipata nafasi tutakuwa hivyo hivyo!

bahati mbaya wengi kati yetu vijana tu sehemu ya familia hii...maisha yanatusukuma huko...kama unafanya kazi na huna mchongo mwingine wa halali wa kuongeza kipato na unajiwa na dili ya kifisadi..utaipitisha ili mwisho wa siku nawe upate uwezo wa kununua RAV 4 na kujenga huko kimara, kinyerezi.....na pia uweze kuchangia harusi za wenzio kwa michango mikubwa mikubwa...

kwa hiyo ni kweli kuwa neutrality is not an option lakini bahati mbaya wengi tutaangukia upande wa mafisadi.



Je kuna matumaini? Je, tuwaachie nchi kwani nasibu iko kinyume yetu? Je tukubali yaishe ili tuendelee kuzungumzia mambo mengine ya maendeleo? Je, Je tuwaachie nchi watawale wapendavyo!? Je tujiunga nao ili tuwabomoe kutoka "ndani"?

matumaini yapo lakini si kwa kizazi hiki cha wazee wetu ambao ndiyo mafisadi wenyewe wala sisi watoto wao ambao ni zao la hao mafisadi....pengine matumaini yatakuwepo kama tutawekeza katika kujenga jamii yenye maadili ya kuheshimu haki na usawa bila kujali rangi, kabila, dini, cheo wala chochote kitachoweza kutumiwa kumfanya mtu mmoja aonekane kuwa ni bora kuliko mwingine...haya yatawezekana kwa kizazi cha watoto au wajukuu wetu.
 
Mafisadi ni sehemu ya jamii wengine ni marafiki zetu hata kwenye facebook. Tunacheka nao na hata kufurahia matokeo ya ufisadi wao na wakati mwingine tunawapa big up. Kuua ufisadi ni kubadili mfumo mzima na kitu hicho si cha muda mfupi ni gradual change. Isipokuwa kuna maeneo ambayo inatubidi tupaze sauti hata kama kuta za ikulu zitapasuka .
 
Back
Top Bottom