Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Kama ni vita basi jeshi linalopenda mabadiliko( na wana CCM wachache wakiwemo) bila kujali itikadi ya chama linabidi litumie silaha na mbinu mpya.
Nina hakika wanajamii % chache sana tunatumia mtandao, %wachache sana hasa wale waliominywa kule vijijini na majimboni hawapati habari ( magazeti, press release)zakile kinachondelea jikoni.
I wish kungekuwa kuna vyama vya wanaharakati ( nje vyama vya siasa) vingeanzisha midahalo kama hii iliyopo jamii forum huko majimboni, vijijini. I wish jamii forum ingekuwa ni NGO kubwa yenye kuwekza kuwapeleka midahalo kama hii kwa wanachi na wenyewe kuchambua pumba na mchele
Ukweli vita hii mafisadi watashinda sio tu kwa sababu ulizozizatja bali pia watashinda sababu kwa upande mwingine wa shilingi wa Wanchi wengi HAWAJAWA WELL RIGHTLY, and CORRECCTLY INFORMED .
WEAKNESS hii ya wananchi kutokuwa na taarifa za kweli na sahihi Ni STRENGHTS yao hao KUPE.
Tunahitaji resouces zaidi ya vyama vya siasa. tunahitaji format midahalo kama hii iende nje ya TOVUTI. Na Tunahitaji kuwashirikisha wananchi wengi zaidi.
Nina hakika wanajamii % chache sana tunatumia mtandao, %wachache sana hasa wale waliominywa kule vijijini na majimboni hawapati habari ( magazeti, press release)zakile kinachondelea jikoni.
I wish kungekuwa kuna vyama vya wanaharakati ( nje vyama vya siasa) vingeanzisha midahalo kama hii iliyopo jamii forum huko majimboni, vijijini. I wish jamii forum ingekuwa ni NGO kubwa yenye kuwekza kuwapeleka midahalo kama hii kwa wanachi na wenyewe kuchambua pumba na mchele
Ukweli vita hii mafisadi watashinda sio tu kwa sababu ulizozizatja bali pia watashinda sababu kwa upande mwingine wa shilingi wa Wanchi wengi HAWAJAWA WELL RIGHTLY, and CORRECCTLY INFORMED .
WEAKNESS hii ya wananchi kutokuwa na taarifa za kweli na sahihi Ni STRENGHTS yao hao KUPE.
Tunahitaji resouces zaidi ya vyama vya siasa. tunahitaji format midahalo kama hii iende nje ya TOVUTI. Na Tunahitaji kuwashirikisha wananchi wengi zaidi.