Wakati Tanzania imepata Tuzo huko new york kwa mafanikio katika elimu utafiti hapa nyumbani unaonyesha hali tofauti kuhusu ubora wa elimu yenyewe. Someni ripoti hizo.
John
John
Tanzania imepata tunzo ya kuandikisha wanafunzi wengi kwenye daftari, lakini watoto wengi waliomaliza darasa la saba hawajui kusoma wala kuandika.
Wakati Tanzania imepata Tuzo huko new york kwa mafanikio katika elimu utafiti hapa nyumbani unaonyesha hali tofauti kuhusu ubora wa elimu yenyewe. Someni ripoti hizo.
John
Tatizo hilo linaisha,
UDOM itatoa walimu 15,000
UDSM inatoa almost 1000
Muce wote
Duce wote
Sua
Mzumbe
Mwenge
na vyuo vingine.
Yaani hata kama Slaa au Lipumba angeshinda hana cha kujisifia kwani hata kama wewe ungekuwa rais ajae tatizo la walimu lingekwisha. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Big up Jakaya kwani ni wazi kuwa tatizo hilo linakwisha. Wajinga ndo wadanganywao.
Nilikuwa nasikia kampeni za slaa mara nitafuta kodi mara ada sasa sijui hiyo serikali yake ataendeshaje. UBABAISHAJI, YES UBABAISHAJI. Ndesa anasema eti MOshi ndo inacchangia pato kubwa katika serikali, wakati Dar iatoa zaidi ya asilimia 74. I said UBABAISHAJI. Tukutane 0ct 31 kwenye kapu la kupigia kuru. No longolongo.