LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Licha ya jina lake kuchafuka kila kona ya Tanzania lakini huyu nadhani ni kiongozi mtekelezaji na si mzungumzaji.
Nakumbuka mwaka 2001,alimkaripia Mwandisi wa maji mkoa wa Lindi Bw.Monjesa,wakati huo alikua waziri wa maji na mifugo na kumpa masaa 24 na kuahidi kumuadhibu kama asingetekeleza.
Wakazi wa kata ile walipata maji.Embu mwenye kumbukumbu nzuri za utekelezaji wake atumwagie!
kwanin usitamani awe basha wako.
Ni kweli utendaji wake mzuri sana kama alivyofanya kwa vitendo rechmond.
Vip na wew ashakutenda(chapanao) nin??