Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Nataka nijue Hotel gani hapa dar kwa kinondoni, Temeke, Makumbusho ambazo zina privacy 100% na bei isiyo ya kutisha isizidi 25k
Elewa maana ya privacy!
Elewa maana ya privacy!
hotel au lodge?
Ya 25k haiwezi kuwa na sifa unazotaka.Nataka nijue Hotel gani hapa dar kwa kinondoni, Temeke, Makumbusho ambazo zina privacy 100% na bei isiyo ya kutisha isizidi 25k
Elewa maana ya privacy!!
Mwambie kabisa Kuna siku yatamkuta, huku kwetu mtu amekatwa mapanga amepelekwa KCMC maana Ana hali mbayaDogo huyo mke wa mtu unayetaka upate nae privacy atakutokea puani.
Shauri yako.
Au aende Sativa Lodge ipo Mbezi karibu kabisa na Morogoro RoadNenda Kimara Mwisho, Kuna Lodge niliwahi Kulala wakati nawahi usafiri Mbezi.
Ilikuwa ni ya shilingi 30k Kwa 25k
Imetulia sana Kwa mazingira yake.
Ukitokea Ubungo ukifika pale Kimara Mwisho Kuna njia unaingia upande wa kushoto, utaenda na hiyo njia Kwa barabara ya Vumbi baada ya kuvuka Pub na Duka la madawa Kwa mbele utaingia Kulia.
Ya 25k haiwezi kuwa na sifa unazotaka.
Dar sio mkoani dogo
Dogo huyo mke wa mtu unayetaka upate nae privacy atakutokea puani.
Shauri yako.
Njoo huku. View attachment 2914592
Hiyo Iko upande gani ukitokea Ubungo?Au aende Sativa Lodge ipo Mbezi karibu kabisa na Morogoro Road