Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,598
Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi. Hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali, faida n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.