Maeneo ya biashara Mbezi Louis stendi mpya walengwa ni kina nani?

Hazard CFC

JF-Expert Member
Apr 7, 2015
16,615
38,598
Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi. Hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali, faida n.k

Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.

IMG-20201117-WA0012.jpg
IMG-20201117-WA0011.jpg
IMG-20201117-WA0010.jpg
 
Back
Top Bottom