Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,214
- 79,466
wajemeni naona Jamii forums ni vuguvugu la great thinkers maana baada ya disapproval ya utendaji wa huyu bwana leo hii nimeona akiulizwa kwanini maji hamna dar! Jibu lake...wale wanaomtetea wataona jinsi anavyojikanyaga! hivi tutaendelea kuwa Obsessed na watu kama hawa mpaka lini? where is the sense of urgency in us Watanzania? hivi wengi wetu hapa tunajua gharama ya maji katika bajeti zetu au tushajizoelea kuwa maji ni gharama namna hiyo!