Madudu na uoza katika Serikali ya Zanzibar

Two wrongs don't make a right. Nashauri tuvumuliane na kujadili hoja bila kuangalia inatoka wapi. Na kwa maoni yangu wanachokita watu wa Zanzibar ndicho hicho hicho wanachikita watu wa Tanganyika, kwamba kuwe na serikali kamili kwa kila upande, na kama ni muungano basi tupitie upya au tujadili aina ya muungano unaofaa kwa zama za sasa. And this time around, kuwepo na mkataba wa kimaandishi na sio kuchanganya udongo.
 
Inatuhusu nini Watanganyika?

Hii thread ungeipeleka kwenye blog ya Wazanzibar, sijui inaitwa Mzalendo dot net kama sikosei.

wanasiasa kama JUSA wanazidi kuimaliza zanzibar!mkitaka ukombozi wa fikra ipokeeni M4C...

Ni upumbavu na udogo wa fikra zenu wote mnaodhani matatizo ya Znz si ya Tanzania. You are sick in minds and you need help! F...k .u!
.

Acha ubaguzi mkuu, mbona mambo ya dunia nzima tunayajadili hapa? Kama huna la kuchangia bora ungekaa kimya!
.
Nilikuwa nataka kuchangia kitu hapa .... lakini ... mara tu nilivyomuona huyo jamaa mwenye Avatar inameremeta hapo juu wa mwisho .... nikaona ... aagh .... hamu yote imeisha! ... ngoja nikae kando kwanza nitafakari vizuri ......

Usije ukapewa zawadi ya
url


Ntarudi baadae. ...ngoja niendelee kutafakari iwapo kuna ulazima wa kuchangia hapa

.
 
Two wrongs don't make a right. Nashauri tuvumuliane na kujadili hoja bila kuangalia inatoka wapi. Na kwa maoni yangu wanachokita watu wa Zanzibar ndicho hicho hicho wanachikita watu wa Tanganyika, kwamba kuwe na serikali kamili kwa kila upande, na kama ni muungano basi tupitie upya au tujadili aina ya muungano unaofaa kwa zama za sasa. And this time around, kuwepo na mkataba wa kimaandishi na sio kuchanganya udongo.

Mkuu mbona hii mada haihusu Muungano?
 
Mkuu mbona hii mada haihusu Muungano?

Nimetaja muungano kwa sababu kiini cha 'u-sisi na u-wao' ni madai ya muungano. Sasa hivi watanganyika waona Zanzibar ni nchi jirani na hivyo kinachotekea huko hakiwahusu, na wakati huo huo Zanzibar wanaona Tanganyika ni 'koloni' ng'ang'anizi.
 
.


.
Nilikuwa nataka kuchangia kitu hapa .... lakini ... mara tu nilivyomuona huyo jamaa mwenye Avatar inameremeta hapo juu wa mwisho .... nikaona ... aagh .... hamu yote imeisha! ... ngoja nikae kando kwanza nitafakari vizuri ......

Usije ukapewa zawadi ya
url


Ntarudi baadae. ...ngoja niendelee kutafakari iwapo kuna ulazima wa kuchangia hapa

.

I see.......!
 
.


.
Nilikuwa nataka kuchangia kitu hapa .... lakini ... mara tu nilivyomuona huyo jamaa mwenye Avatar inameremeta hapo juu wa mwisho .... nikaona ... aagh .... hamu yote imeisha! ... ngoja nikae kando kwanza nitafakari vizuri ......

Usije ukapewa zawadi ya
url


Ntarudi baadae. ...ngoja niendelee kutafakari iwapo kuna ulazima wa kuchangia hapa

.

Huyo mbona mwenzetu Mkuu, na yeye alikuwa anaongoza kwa watu wakupigwa Ban mpaka alipoingia kwenye Umoderator ndio kapumzika ban, kwahiyo usiogope yeye mwenyewe anaujuwa uchungu wa Ban sitegemei kama atakuwa na option za haraka namna hiyo.
By the way kama unachangia vitu critically ni kwa nini uogope ban?
 
Nimetaja muungano kwa sababu kiini cha 'u-sisi na u-wao' ni madai ya muungano. Sasa hivi watanganyika waona Zanzibar ni nchi jirani na hivyo kinachotekea huko hakiwahusu, na wakati huo huo Zanzibar wanaona Tanganyika ni 'koloni' ng'ang'anizi.

Huyo aliye-impose mada ya "usisi" ndio kakosea, wewe usifuate makosa yake uka-divert mada unnecessarily!
 
Inatuhusu nini Watanganyika?

Hii thread ungeipeleka kwenye blog ya Wazanzibar, sijui inaitwa Mzalendo dot net kama sikosei.

Acha ubaguzi mkuu, mbona mambo ya dunia nzima tunayajadili hapa? Kama huna la kuchangia bora ungekaa kimya!

Buchanan Mkuu, inaonesha hukuangalia juu nani ameweka hii post. Niliiweka mimi, lakini baada ya kuona waungwana Tedo na Matola wananishambulia kwa kuwa nimepost mambo ya Zanzibar katika "Jukwaa lao la Watanganyika", ndio niliandika kuwaomba wawatake MODS waiondoshe.
 
poleni sana wazenji........badala ya kuandamana na kuchoma moto bar hebu andamaneni kupinga huu ufisadi
 
Kwa hio jamii forum walengwa ni watanganyika baadae semeni wenyewe ni wakristo baadae semeni wenyewe chadema hakika hii dhambi utatumaliza watanzania kwa ujinga wa watu wachache tu

Zenj ni nchi huru. Tanganyika si huru na ndo tunatafuta uhuru kupitia m4c
 
Hata cjui nichangie nini naona sasa tunaanza kubaguana hata kwenye JF? Eeeeh nasaha za baba wa Tifa haziko mbali nasi.
 
Kweli mkuu?

user-online.png
Buchanan

18th December 2011 22:38
#1
Super Moderator
mod.png
Array


Join Date : 19th May 2009
Posts : 7,926
Rep Power : 6279
Likes Received441
Likes Given144



[h=2]
icon1.png
Sababu ya Kupigwa BAN Mwezi Mmoja![/h]
Wapendwa wa Jukwaa hili la Dini,
Kabla sijaanza kupost chochote hasa baada ya kupigwa BAN ya mwezi mmoja napenda kuwafahamisha sababu za hiyo BAN kwa kuwa inawezekana baadhi yenu mlikuwa mnajiuliza kulikoni!
Message yenyewe ya BAN hii hapa (Sina hakika kama ni makosa kuiweka wazi kwa kila mtu):
"JamiiForums Message You have been banned for the following reason: Mkuu, tunakuheshimu sana. Unavyofanya kupitia JF si uungwana! Date the ban will be lifted: 18th December 2011, 23:00."
Japokuwa hapa kosa halijasemwa lakini najua kuna Post moja niliweka tuhuma nzito za ugaidi dhidi ya member mmoja wa JF. Sasa badala ya kujibu tuhuma hizo huyo member kakimbilia kwa Super Mod na kulialia (kama defense mechanism) ili mimi nipigwe BAN, na ndicho kilichotokea! Sijali kama nitapigwa BAN tena kwa kugusia hili, lakini nasema tu kwamba: "it was unfair kumfunga shahidi na kumwacha mtuhumiwa akila kuku kwa mrija!"
Nawasilisha!​
 
Back
Top Bottom