kunywa maji baridiiiiiiii yenye barafu!
then tafuta juice nzito ya ukwaju.
alafu utashuhudia balaa lake
Thanks, nimepata amoxycillin, celastamine na Asprin na ninaendelea vyema.
pole sana. pumzika kwa kupunguza ushiriki wako jfMsaada jamani, nimeamka asbh na koo linauma na ninamadonda; nipate dawa gani?