Madini yote Tanzania hayawezi kujenga barabara ya Dodoma Dar

NA HII NDIO NAIROBI-THIKA ROAD..ON TIME ON BUDGET, NO POLITICS

7293527580_6750ff3295_b.jpg

......... na kuonesha wanamaanisha nini kodi yao inatumika vema na wenye mamlaka, sasa Nairobi wanataka kuachana na matatu, treni za katikati ya jiji.
Sisi hapa kila siku longolongo na tunashuhudia viongozi wakiimarisha mageti ya nyumba zao badala ya kuhudumia barabara na miundombinu mingine muhimu
 
Ripoti ya madini imetoka na majigambo mengiiiiii kuwa mapato yameongezeka kutoka bilioni mia na kitu hadi mia nne kutoka makampuni ishirini na kitu.
swali ninalojiuliza kwa kuwa kujenga km 1 ya lami ni 1 bilion na urefu wa barabara ya do to dar ni kama km mia tano na kitu hiyo hela ya madini kwa mwaka haiwezi kumaliza hiyo barabara kwa nini tunachimba madini?
na cha ajabu mpaka siment ipo kundi la madini(kama sijasikia vibaya).
sasa wadau nisaidieni tanzania tuna km ngapi za barabara?na kama tutaamua kutumia rasilimali zetu za madini itatuchukua miaka mingapi kumaliza hizo barabara?
je kweli madini yana thamani ndogo kuliko bia?

MSAADA WENU UTANISAIDIA SANA.

Mkuu hakuna ongezeko lolote. ongezeko linaonekana kwa sababu ya kushuka kwa thamani ya shilingi na kuongezeka kwa makampuni. Hii kuweka mambo kijumla jumla na kuweka mapato kwa hela ya Kitanzania ndo inayotumika kutudanganya. Chukua mapato hayo yabadilishe yawe dola au Euro halafu uchukue makampuni yote utafute wastani kwa kila kampuni ulinganishe na ya nyuma utakuta yameshuka.
 
Zao la Mizabibu tu linatosha kujenga 3way line both sides from Dar to Dodoma; Zabibu za Dodoma ni nzuri haswa Mvinyo

Wake ni Mzuri nimeona Ufaransa, Ujerumani na Italy nchi zianazopenda Mvinyo na Wananunua Mvinyo wa bongo

Kwahiyo hiyo tu inaweza kujenga hiyo barabara, lakini Serikali yetu kabla hawajasafiri kwenda kusafisha Macho wao na

entourage yao, Prince na Marafiki wadundike Arabuni ya nini hiyo Barabara? Acha Wabunge wafe barabarani
 
Back
Top Bottom