Mkuu kama wewe ni kijana wa umri kati miaka thelathini mpaka arobaini na tano nakushauri ukamwone daktari ili akupe ushauri wa jinsi ya kuhakikisha kuwa unakuwa na nguvu za kiume muda wotemimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!