Madhara yatokanayo na unywaji wa Red bull

mimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!
Mkuu kama wewe ni kijana wa umri kati miaka thelathini mpaka arobaini na tano nakushauri ukamwone daktari ili akupe ushauri wa jinsi ya kuhakikisha kuwa unakuwa na nguvu za kiume muda wote
 
mimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!

Kama zinakupa madhara hayo achana nazo..
 
Kuna topic humu inaelezea madhara ya redbull na wewe katavi ulicomment ukasema kweli ni hatari. Mara hii ushasahau!!
 
Kama una wasiwasi nazo lete kwangu nkusaidie kupunguza madhara!!
 
Huyo jirani hakupendi kama anajua vina madhara na yeye hatumii ameona wewe ndo wa kufa na hayo madhara??selfish neighbour indeed....

Kuhusu madhara nishasikia mara kibao. tusubiri wataalam waje watueleze kiundani

Unless huyo jamaa hakuku-Invisible "AT YOUR OWN RISK" otherwise hiyo haitakuwa excuse, wangapi wanajua kuwa sigara ina madhara na still wanaendelea kutumia?
 
Kuna topic humu inaelezea madhara ya redbull na wewe katavi ulicomment ukasema kweli ni hatari. Mara hii ushasahau!!

Sikumbuki vizuri, ila nimejitahidi kui-search sijaipata. Huenda huku kusahau ni moja ya madhara ya redbull.....
 
Mkuu kama wewe ni kijana wa umri kati miaka thelathini mpaka arobaini na tano nakushauri ukamwone daktari ili akupe ushauri wa jinsi ya kuhakikisha kuwa unakuwa na nguvu za kiume muda wote

mkuu sio kwamba nina tatizo hilo.....isipokua kwa muda niliozinywa mara nyingi madhara yake kwangu ndo kama hayo...kuna wengine wakinywa wanajisiki kichefuchefu.... lakini kwa saizi nimeziacha kabisa kwa kuogopa huenda badae zikaniletea madhara makubwa zaidi...
 
mkuu sio kwamba nina tatizo hilo.....isipokua kwa muda niliozinywa mara nyingi madhara yake kwangu ndo kama hayo...kuna wengine wakinywa wanajisiki kichefuchefu.... lakini kwa saizi nimeziacha kabisa kwa kuogopa huenda badae zikaniletea madhara makubwa zaidi...

Nimekuelewa mkuu achana na red bull ili uweze linda heshima yako
 
Haina ubaya ila usinywe zaidi ya moja kwa Siku, haina shida yeyote.



Heshima yenu wakuu. Kuna jirani yangu ameniletea carton nzima ya RedBull na kudai amepewa zawadi ya birthday. Nilipomuuliza kwa nini ananipa carton nzima amedai kaambiwa zina madhara na hivyo hatumii. Kabla sijafungua hili carton naombeni mnipe madhara ya kinywaji hiki.
 
Tena zimeandikwa not allowed for children,mimi nilishakunywa mbili niliweza kuona dosari za kuta an silin bord ya chumba nilichokua nimepanga
 
mimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!
Mkuu utakuwa na tatizo la Homoni. Na ukiwa na hormone imbalance afu ukachanganya na caffeine kwa wingi hilo tatizo la nguvu za kiume ni dhahiri. Lakini pia Redbull zinachangia sana ongezeko la uzito ambalo linakuwa linachangia sana tatizo la nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom