Madhaifu Haya Kurugenzi ya habari na uenezi CHADEMA yanatia kichefuchefu

Gwota

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
205
92
Ni muda mrefu sasa kurugenzi ya habari na uenezi kupitia kwa Tumaini Makene imekuwa ikishauri wa namna ya kutumia kila fursa inayopatikana kukitangaza chama itumiwe ipasavyo, Cha kushangaza ama kwa dharau, au uzembe au ukosefu wa uelewa wa kutosha bwana Makene na maofisa wenzake (Isipokuwa Mnyika kwa kuwa jambo hili ni ndogo na lilitakiwa liwezwe na hawa akina makene na wenzake) wameshindwa kabisa kuwa wanaweka “Full video” za hotuba za kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Imekuwa ni kawaida kwa Bwana makene kuweka hotuba hizi katika “Full text” i.e maandishi pekee na hakuna sababu za msingi zinazomfanya yeye na timu yake kushindwa ku-upload na video za hotuba hizi ktk mitandao hii km vile youtube, jf etc.
Kuna faida nyingi sana za kuwa na video hizi zikiwa full video kushinda maandishi (ieleweke sijasema maandishi yasiwekwe) kama vile

  • Kusaidia kwa wale ambao hawakupata fursa za kusikiliza bunge kuweza kuangalia badae ni nini kilisemwa na kambi rasmi ya upinzani bungeni
  • Youtube ni sehemu muhimu sana ya kumbukumbu hata siku za mbele mtu unaweza kusikiliza
  • etc.

Ni jambo la ajabu sana kwa chama kama chadema ambacho tunategemea kiende ki-Digital eti leo hii ukitaka hotuba za mwaka jana (ya zitto t undo inapatikana) katika video hauwezi kuzipata, Udhaifu unaoendelea katika kurugenzi hii inatakiwa uondlewe haraka ili kurahisisha uenezi wa chama.

Asanteni nawasilisha
 
Duh, Zitto ahojiwe kwa hili inawezekanaje hotuba zake zote muhimu ziwepo lakin za mwenye chama zisiwepo, Zitto ni 'mnafiki,msaliti na kirusi afukuzwe' mara moja!

Lumumba project! Umeshaingiza siku hapo kiulainiiii unajipatia buku saba!
 
Lumumba project! Umeshaingiza siku hapo kiulainiiii unajipatia buku saba!

Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe
 
I totally agree with you 100%. Tumaini Makene please take note and action on that immediately effectively.

TV mpaka leo hamjatuwekea sasa hata hii mshindwe? Binafsi sipati mda wa kuangalia bunge mchana kutokana na nature ya kazi...na taarifa za habari hazionyeshi kila kitu.
 
Lumumba project! Umeshaingiza siku hapo kiulainiiii unajipatia buku saba!

hata changuo doa anajua kila wanaopigana mikasi wanalipana kwa kuwa yeye huwa analipwa kwa hiyo ataumiza kichwa kujua Rate kumbe wenzie wanafanya for Fun!
 
Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe

Gwota acha kurukia kila kitu bila busara.Unamtukana Mwita Maranya kakukosea nini? Mwita alikuwa anamjibu huyo mfuasi wa Lumumba wewe unaingilia kwa kejeli kwanini?
 
Last edited by a moderator:
Lumumba project! Umeshaingiza siku hapo kiulainiiii unajipatia buku saba!
ebu msome hapa huyo ndugu,stress zinamsumbua.
Angejiunga Jf kupunguza Stress dawa hii imenisaidia sana.Jf milele Ameen!

tatizo mkuu limeisha au limepungua tu,kama halijaisha si vibaya ukiliweka wazi tukakupa ushauri wa kitabibu zaidi ili hata jf isipokuwepo hewani ujue utafanya nini.
 
Mnatukanana wenyewe kwa wenyewe wote dugu moja

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
I totally agree with you 100%. Tumaini Makene please take note and action on that immediately effectively.

TV mpaka leo hamjatuwekea sasa hata hii mshindwe? Binafsi sipati mda wa kuangalia bunge mchana kutokana na nature ya kazi...na taarifa za habari hazionyeshi kila kitu.

Exactly kaka lakini hawa hawasikii, tatizo hili mimi nishaambia toka mwaka jana lakini hakuna hatua yeyote, tusiwalalamikie ccm kushindwa ikiwa na sisi tunashindwa jambo dogo kama hili
 
ila ni kweli kuna baadhi ya watu mle hawana uwezo ni bora waondolewe,katika idara nyeti kama hiyo huitaji wa kusukumwa sukumwa kama hao bali watu wanaojua wajibu wao ipasavyo!
 
Penye mapungufu lazima tuambiane ukweli ili wahusika wajirekebishe. Kuna maelfu ya watu humu wanapost kila siku kueneza sera za CDM. Ni lazima kurugenzi ya habari iwasaidie kwa kuwapa sources of information. Sielewi inagharimu kiasi gani kurekodi michango ya hotuba za wabunge wa CDM na kuziupload youtube. Sijui inacost kiasi gani kurekodi na ku-upload hotuba za viongozi wa CDM zinazotolewa kwenye mikutano. Na ikumbukwe kwamba ku-upload youtube haitoshi, ni pazima kuwe na posts zinazolink video hizo hapa jf na facebook.
CCM wanalipa hela nyingi sana hao misukule wake wanaoshinda na kukesha kwenye mitandao wakitukana CDM. CDM haina haja ya kuajiri hata mtu mmoja kueneza sera zake kwenye mitandao kwa sababu kuna maelfu ya watanzania dunia nzima ambao wamejitolea kwa kazi hiyo. Then CDM itumie advantage hiyo kwa kusupply adquate information huku kwenye mitandao...
 
wanaoafiki waseme ndiyooooooooooooooooooooooooo!! wasioafiki wasa hapana.ndiyoooo wameshinda
 
Ni muda mrefu sasa kurugenzi ya habari na uenezi kupitia kwa Tumaini Makene imekuwa ikishauri wa namna ya kutumia kila fursa inayopatikana kukitangaza chama itumiwe ipasavyo, Cha kushangaza ama kwa dharau, au uzembe au ukosefu wa uelewa wa kutosha bwana Makene na maofisa wenzake (Isipokuwa Mnyika kwa kuwa jambo hili ni ndogo na lilitakiwa liwezwe na hawa akina makene na wenzake) wameshindwa kabisa kuwa wanaweka “Full video” za hotuba za kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Imekuwa ni kawaida kwa Bwana makene kuweka hotuba hizi katika “Full text” i.e maandishi pekee na hakuna sababu za msingi zinazomfanya yeye na timu yake kushindwa ku-upload na video za hotuba hizi ktk mitandao hii km vile youtube, jf etc.
Kuna faida nyingi sana za kuwa na video hizi zikiwa full video kushinda maandishi (ieleweke sijasema maandishi yasiwekwe) kama vile

  • Kusaidia kwa wale ambao hawakupata fursa za kusikiliza bunge kuweza kuangalia badae ni nini kilisemwa na kambi rasmi ya upinzani bungeni
  • Youtube ni sehemu muhimu sana ya kumbukumbu hata siku za mbele mtu unaweza kusikiliza
  • etc.

Ni jambo la ajabu sana kwa chama kama chadema ambacho tunategemea kiende ki-Digital eti leo hii ukitaka hotuba za mwaka jana (ya zitto t undo inapatikana) katika video hauwezi kuzipata, Udhaifu unaoendelea katika kurugenzi hii inatakiwa uondlewe haraka ili kurahisisha uenezi wa chama.

Asanteni nawasilisha

Umeyatafuta matusi kutoka kwa hawa jamaa zako wa Kinondoni.

Mimi simo
 
Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe

Kawaida yenu kutukana tumeshawazoea.
 
kama gazeti tu achilia mbali radio na Tv wameshidwa sembuse u tube?
wote wameshidwa hiyo kazi,kuelekea 2015 Vyombo vya habari ni muhimu sana!!
 
Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe
Mkuu Gwota mtake radhi Mwita Maranya alikua hakujb wewe bali huyu baazaz.i wa LIMUMBA lakn pia ifikie wakati tujuane kwa namna ya hata kujua je ni kina nani wenzetu humu ndani ya Jukwaa maana wengine wanafahamika vema
 
Back
Top Bottom