Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Kumekuwa na Trends siku hizi Madereva hasa hawa wa Daladala wakifika sehemu kuna taa au Foleni huwa wanashuka na kujizugisha zugisha au kulizunguka Gari akisubiri foleni itembee.
Hichi Kitendo ni kibaya na kinahatarisha usalama wa Abiria, Ikitokea Gari inakuja imefeli breki au kukosa uelekeo Dereva aliyeshuka kwanza anakuwa hatarini mwenyewe, pia atakosa nafasi ya kuondoa Gari yake kwa haraka na kuikwepa yenye tatizo, hivyo anayaweka hatarini maisha ya Abiria wake kwa uzembe.
Kama Abiria unashauriwa kujali usalama wako unapokuwa kwenye Chombo cha moto, usichochee sifa za Dereva, uzembe wake, wala usumbufu na Madereva wengine Barabarani. Kuwa Mkali ufike salama usiruhusu Dereva akupoteze uwahi kwa Uzembe wake.
Hichi Kitendo ni kibaya na kinahatarisha usalama wa Abiria, Ikitokea Gari inakuja imefeli breki au kukosa uelekeo Dereva aliyeshuka kwanza anakuwa hatarini mwenyewe, pia atakosa nafasi ya kuondoa Gari yake kwa haraka na kuikwepa yenye tatizo, hivyo anayaweka hatarini maisha ya Abiria wake kwa uzembe.
Kama Abiria unashauriwa kujali usalama wako unapokuwa kwenye Chombo cha moto, usichochee sifa za Dereva, uzembe wake, wala usumbufu na Madereva wengine Barabarani. Kuwa Mkali ufike salama usiruhusu Dereva akupoteze uwahi kwa Uzembe wake.