Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
DEMBA baby ujue hata tungetaka kutunia approach ya zamani si lazima kianza kwa kuongea? Sasa zamani wabibi walikuwa ivyo kwamba leo mmekutana au hata bado kuonaa..kama.anavosema TIMING mmechat for one hour hivi then invoice hiyo apo.......sasa wanatukimbiza namna hiyo kama alivosema Kiranga.mambo mengine wa kulaumiwa ni nyinyi wenyewe. siku hizi watu wanaona ngono ni kama maji ya kunywa. ndio maana mnadiriki hata kununua, tofauti na wazee wetu. ambao walikuwa wakisubiri hadi wakati muafaka, lakini leo hii hajulikani aliyeoa wala siyeoa. so mwanawake wamekuwa ombaomba na wanaume wamekuwa omba omba. tofauti ni huyu anaomba ngono huyu anaomba pesa. jamii nzima inapaswa kubadilika.
Last edited by a moderator: