Madaraja mapya sasa basi, achia Madaraja ya watumishi

maneka

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
823
1,176
Wadau awali ya yote niwatakie heri ya mwaka mpya 2021! Mungu azidi kutubariki na kutuongezea neema na baraka zake, uwe mwaka wa mafanikio kwa wana JF wote na familia zetu.

Wadau, nawiwa kumwangukia Mh. Rais wetu mtetezi wa wanyonge, asiyependa kuona manunguniko ya watu wake, mpenda haki na mcha Mungu. Kumuomba huruma kwa watumishi, kuwa ile nyongeza ya kamshahara ka kila mwaka kana maana kubwa sana kwa mtumishi asikapuuze maisha ya wengi yalibebwa na kanyongeza hako alikoona hakana maana.

Kama haitoshi MADARAJA ya watumishi kuanzia 2014 yamekwama, watumishi hawana furaha kabisa sema tu ni ile ukiwa mbele ya mwenye mamlaka unajichekesha kinafiki, uhalisia ni kwamba nyoyo za watumishi walio wengi zinavuja machozi ya huzuni, simanzi, manung'uniko, kisasi, majuto nk! Kwa hiyo Mh. Rais binafsi kwa ujasiri nilionao unaotokana na haya ninayosema kupitia hapa ningetamani nije personally nikueleze ili uone uzito wa kulitekeleza hili haraka ili kukumbusha usemi wako "maendeleo hayana chama, si ndiyo ndugu zangu!"

Mh. Rais nakuomba wambie wabunge waanze upya kujadili sheria inayo halarisha chama cha walimu (CWT). Hiki ni jini linalo nyonya damu ya walimu wa Tanzania. Kama kweli chama kina msaada kwa walimu, kura ya maoni ipigwe ili walimu waeleze kwa kura ya siri kama kina manufaa kwao au ni genge la wanyonyaji. Hadi inafikiriwa eti serikali yako inaweza kuwa nyuma ya dhuruma hii ya makato yasiyo eleweka yanakwenda wapi na faida ya nani? Kwa nini serikali inahusishwa ni kwa sababu kila walimu wanapolalamika juhudi hainekani kuungwa mkono na serikali yako!!!!?? Sasa sheria ipitiwe upya.

Mh. Rais, wastaafu ni kundi lingine linaloonekana kupuuzwa kwa kutopewa mafao kwa wakati. Hali inayopelekea matapeli kuwadhurumu kwa kupitia mgongo wa kuwasaidia pindi wanapo kaa muda mrefu bila mshahara. Na inasemekana baadhi ya watumishi wasio waaminifu huchwlewesha mafao ya watumishi hao ili kuandaa mwanya wa kuwatapeli mafao yao. Hili nakuomba sana Mh. Rais ilitazame kwa jicho la huruma sana na haraka sana. Wazee wetu wametumikia Nchi hii kwa muda mrefu tena kwa uaminifu na Uzalendo wa hali ya juu sana, si vema wakaadhirika kiasi hiki tunacho shuhudia.

Yapo mengi ila kwa leo 01.01.2021. niishie hapa, kama utanikaribisha IKULU au kwenye kale kaofisi kako uliko tumia kuwasiliana na Mkulu mwenzio kwa simu siku chache za mwishoni mwa mwaka jana, nitakueleza mengi.

Kabla ya kunikaribisha nisaidie haya kwanza ili tuanze vizuri mwaka mpya 2021.

Wale wazee wa kuponda kila wazo la mtu subirini pembeni kwanza Uzi wenu nauandaa, kiherehere sipendi. MIMI HUWA SIJARIBIWI. HIIIIIIII!

HERI YA MWAKA MPYA MH. RAIS.
 
Wako watumishi wa umma Wana zaidi ya miaka nane hawajapandishwa daraja kamwe.mbaya zaidi Kuna watumishi wameajiriwa siku moja lakini Wana madaraja tofauti...
 
Wadau awali ya yote niwatakie heri ya mwaka mpya 2021! Mungu azidi kutubariki na kutuongezea neema na baraka zake, uwe mwaka wa mafanikio kwa wana JF wote na familia zetu.

Wadau, nawiwa kumwangukia Mh. Rais wetu mtetezi wa wanyonge, asiyependa kuona manunguniko ya watu wake, mpenda haki na mcha Mungu. Kumuomba huruma kwa watumishi, kuwa ile nyongeza ya kamshahara ka kila mwaka kana maana kubwa sana kwa mtumishi asikapuuze maisha ya wengi yalibebwa na kanyongeza hako alikoona hakana maana.

Kama haitoshi MADARAJA ya watumishi kuanzia 2014 yamekwama, watumishi hawana furaha kabisa sema tu ni ile ukiwa mbele ya mwenye mamlaka unajichekesha kinafiki, uhalisia ni kwamba nyoyo za watumishi walio wengi zinavuja machozi ya huzuni, simanzi, manung'uniko, kisasi, majuto nk! Kwa hiyo Mh. Rais binafsi kwa ujasiri nilionao unaotokana na haya ninayosema kupitia hapa ningetamani nije personally nikueleze ili uone uzito wa kulitekeleza hili haraka ili kukumbusha usemi wako "maendeleo hayana chama, si ndiyo ndugu zangu!"

Mh. Rais nakuomba wambie wabunge waanze upya kujadili sheria inayo halarisha chama cha walimu (CWT). Hiki ni jini linalo nyonya damu ya walimu wa Tanzania. Kama kweli chama kina msaada kwa walimu, kura ya maoni ipigwe ili walimu waeleze kwa kura ya siri kama kina manufaa kwao au ni genge la wanyonyaji. Hadi inafikiriwa eti serikali yako inaweza kuwa nyuma ya dhuruma hii ya makato yasiyo eleweka yanakwenda wapi na faida ya nani? Kwa nini serikali inahusishwa ni kwa sababu kila walimu wanapolalamika juhudi hainekani kuungwa mkono na serikali yako!!!!?? Sasa sheria ipitiwe upya.

Mh. Rais, wastaafu ni kundi lingine linaloonekana kupuuzwa kwa kutopewa mafao kwa wakati. Hali inayopelekea matapeli kuwadhurumu kwa kupitia mgongo wa kuwasaidia pindi wanapo kaa muda mrefu bila mshahara. Na inasemekana baadhi ya watumishi wasio waaminifu huchwlewesha mafao ya watumishi hao ili kuandaa mwanya wa kuwatapeli mafao yao. Hili nakuomba sana Mh. Rais ilitazame kwa jicho la huruma sana na haraka sana. Wazee wetu wametumikia Nchi hii kwa muda mrefu tena kwa uaminifu na Uzalendo wa hali ya juu sana, si vema wakaadhirika kiasi hiki tunacho shuhudia.

Yapo mengi ila kwa leo 01.01.2021. niishie hapa, kama utanikaribisha IKULU au kwenye kale kaofisi kako uliko tumia kuwasiliana na Mkulu mwenzio kwa simu siku chache za mwishoni mwa mwaka jana, nitakueleza mengi.

Kabla ya kunikaribisha nisaidie haya kwanza ili tuanze vizuri mwaka mpya 2021.

Wale wazee wa kuponda kila wazo la mtu subirini pembeni kwanza Uzi wenu nauandaa, kiherehere sipendi. MIMI HUWA SIJARIBIWI. HIIIIIIII!

HERI YA MWAKA MPYA MH. RAIS.
Mtu(kijana) mwenye vision au maono ya mbali hawezi kua mualimu wa shule ya msigi au sekondari hapa Tz kwa zaidi ya miaka mitano, pale ni kuendekeza na kukaribisha umasikini, katika ukoo au familia

Ualimu katika nchi kama yetu ni stepping stone ya kuang'anza fursa zingine kama au kupata kimtaji kdgo au kupata mkopo kirahisi, au kupata scholar ya elimu ya juu na huku unalipwa ki mshahara. Ualimu ni 40% ya watumishi wote ummah ukiongeza kidgo bajeti inaumba lzma wanyoonywe ili sekita zingine ziendelee vzri. Kwahiyo virio vyenu vitakua pale pale siku zote
 
Wako watumishi wa umma Wana zaidi ya miaka nane hawajapandishwa daraja kamwe.mbaya zaidi Kuna watumishi wameajiriwa siku moja lakini Wana madaraja tofauti...
Yaani Mkuu hili ni tatizo kubwa sana. Kuna madam amepanada mara moja mwenzake wa mwaka wake kapanda mara mbili. Very sad!
 
Mtu(kijana) mwenye vision au maono ya mbali hawezi kua mualimu wa shule ya msigi au sekondari hapa Tz kwa zaidi ya miaka mitano, pale ni kuendekeza na kukaribisha umasikini, katika ukoo au familia

Ualimu katika nchi kama yetu ni stepping stone ya kuang'anza fursa zingine kama au kupata kimtaji kdgo au kupata mkopo kirahisi, au kupata scholar ya elimu ya juu na huku unalipwa ki mshahara. Ualimu ni 40% ya watumishi wote ummah ukiongeza kidgo bajeti inaumba lzma wanyoonywe ili sekita zingine ziendelee vzri. Kwahiyo virio vyenu vitakua pale pale siku zote
Mdau mbona mikataba inaonesha mwalimu apande daraja kila baada ya miaka mitatu? Hivi mkataba siyo sheria? Mbona mikataba ina puuzwa? Ikoje wadau? Ndugu zetu hawana furaha kabisa, tuwasaidie wanavuja machozi kila kukicha!
 
Mdau mbona mikataba inaonesha mwalimu apande daraja kila baada ya miaka mitatu? Hivi mkataba siyo sheria? Mbona mikataba ina puuzwa? Ikoje wadau? Ndugu zetu hawana furaha kabisa, tuwasaidie wanavuja machozi kila kukicha!
Wavumilie tu wasichoke maana mvumilivu hula mbivu.
 
Umeanza kwa kusifia weeee kwenye uongo, ila mtapandishwa mwez wa 7 mwaka wa serikali, saivi lipa ada za watoto
 
Inawezekana ikawa ni kweli kuwa tunasifia, ila tambua siyo yote yanayotekelezwa na serikali ni kuponda tu! Yapo mazuri na mengine yanahitaji kurekebishwa. Mfano ni haya!
Ni kweli uyasemayo, Kwenye kusifia tusifie, lakini kwenye kukemea tukemee, kwenye kuomba tuombe, na kwenye kudai tudai.

Iwepo mizani yenye haki na usawa.

Lawama zikizidi ni kero, na sifa zikizidi ni kero pia.

Tambueni kuwa madaraja na mishahara ni haki yenu na sio KUDRA (KUDURA) za Mh Raisi. Msijinyenyekeze pasisostahili, mjinyenyekeze pale TU panapostahili
 
Tatizo nyie kuna kipindi mnakuwa pamoja naye kwenye sherehe zenu hampigi kelele bali mnaishia kusifia,,,
 
Na kila tunapotaka kuwasaidia kudai haki zenu huwa mnatutukana na kutuona wapuuzi.

Hakuna watu ambao wangeweza kubadilisha uelekeo wa hii nchi kama walimu.

Lakini wao ndio viongozi wa makongamano ya kupongeza na Kushukuru
 
Mdau mbona mikataba inaonesha mwalimu apande daraja kila baada ya miaka mitatu? Hivi mkataba siyo sheria? Mbona mikataba ina puuzwa? Ikoje wadau? Ndugu zetu hawana furaha kabisa, tuwasaidie wanavuja machozi kila kukicha!
Kama unafikiri vinavyo andikwa ndo kutekelezwa sasa neenda mahakama ya ajira uwashitaki ili upate stahiki yako, uone kama utafukuzwa na hivyo vilaki tatu utavikosa kabisa
 
Nami ni muhanga wa hili la kutopandishwa madaraja kwa miaka saba sasa. Ni vizuri watumishi tukapewa haki yetu. Viingizi wengi wanazungumzia utendaji bora bila kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi
Ila si haujafa ndugu mtumishi? Chapa kazi tu mtumishi.
 
Kisheria kupandishwa cheo mtumishi wa umma ni hiari au hisani ya mwajiri (Serikali).
Hakuna sheria inayomlazimisha mwajiri kumuongezea mtumishi mshahara au kumpandisha cheo.Mkataba wa kazi unamtaka mtumishi kufanya kazi na mwajiri kumlipa mshahara waliokubaliana.
Mwajiri akiona mtumishi wake kafanya kazi kwa ufanisi na hivyo tija imeongezeka anaweza akampandisha cheo mtumishi huyo.
 
Siyo walimu tu, watumishi wengi wa idara ya afya hawajapandishwa madaraja kwa zaidi ya miaka saba toka wameajiriwa mshahara ni ule ule lakini gharama za maisha zinapanda kila kukicha, madaktari na manesi wanahatarisha maisha yao kwa kushika damu za wagonjwa (infectious blood),watumishi hawa wanafanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya watanzani 24/7 mpaka siku ya sikukuu kama leo wao wanachezea damu kwenye chumba cha upasuaji,Tanzania kungekuwa na uhuru wa mawazo na kujitambua kama Kenya wangeshagoma,nani wa kuwasemea na kuwatetea? Viongozi wao wapigwa ganzi (anesthesia) na system,
 
Kuwa mtumishi wa serikali ya awamu ya tano ni ujasiri wa hali ya juu unatakiwa kufanya kazi kulingana na mshahara wako
 
Watumishi tulieni - si unanipenda CCM... sasa kapandeni daraja la mfugaji pale Tazara mpigie na picha..hayo madaraja yenu sahauni na mkae kimya.
 
Subiri tunajenga reli kwanza.
Wadau awali ya yote niwatakie heri ya mwaka mpya 2021! Mungu azidi kutubariki na kutuongezea neema na baraka zake, uwe mwaka wa mafanikio kwa wana JF wote na familia zetu.

Wadau, nawiwa kumwangukia Mh. Rais wetu mtetezi wa wanyonge, asiyependa kuona manunguniko ya watu wake, mpenda haki na mcha Mungu. Kumuomba huruma kwa watumishi, kuwa ile nyongeza ya kamshahara ka kila mwaka kana maana kubwa sana kwa mtumishi asikapuuze maisha ya wengi yalibebwa na kanyongeza hako alikoona hakana maana.

Kama haitoshi MADARAJA ya watumishi kuanzia 2014 yamekwama, watumishi hawana furaha kabisa sema tu ni ile ukiwa mbele ya mwenye mamlaka unajichekesha kinafiki, uhalisia ni kwamba nyoyo za watumishi walio wengi zinavuja machozi ya huzuni, simanzi, manung'uniko, kisasi, majuto nk! Kwa hiyo Mh. Rais binafsi kwa ujasiri nilionao unaotokana na haya ninayosema kupitia hapa ningetamani nije personally nikueleze ili uone uzito wa kulitekeleza hili haraka ili kukumbusha usemi wako "maendeleo hayana chama, si ndiyo ndugu zangu!"

Mh. Rais nakuomba wambie wabunge waanze upya kujadili sheria inayo halarisha chama cha walimu (CWT). Hiki ni jini linalo nyonya damu ya walimu wa Tanzania. Kama kweli chama kina msaada kwa walimu, kura ya maoni ipigwe ili walimu waeleze kwa kura ya siri kama kina manufaa kwao au ni genge la wanyonyaji. Hadi inafikiriwa eti serikali yako inaweza kuwa nyuma ya dhuruma hii ya makato yasiyo eleweka yanakwenda wapi na faida ya nani? Kwa nini serikali inahusishwa ni kwa sababu kila walimu wanapolalamika juhudi hainekani kuungwa mkono na serikali yako!!!!?? Sasa sheria ipitiwe upya.

Mh. Rais, wastaafu ni kundi lingine linaloonekana kupuuzwa kwa kutopewa mafao kwa wakati. Hali inayopelekea matapeli kuwadhurumu kwa kupitia mgongo wa kuwasaidia pindi wanapo kaa muda mrefu bila mshahara. Na inasemekana baadhi ya watumishi wasio waaminifu huchwlewesha mafao ya watumishi hao ili kuandaa mwanya wa kuwatapeli mafao yao. Hili nakuomba sana Mh. Rais ilitazame kwa jicho la huruma sana na haraka sana. Wazee wetu wametumikia Nchi hii kwa muda mrefu tena kwa uaminifu na Uzalendo wa hali ya juu sana, si vema wakaadhirika kiasi hiki tunacho shuhudia.

Yapo mengi ila kwa leo 01.01.2021. niishie hapa, kama utanikaribisha IKULU au kwenye kale kaofisi kako uliko tumia kuwasiliana na Mkulu mwenzio kwa simu siku chache za mwishoni mwa mwaka jana, nitakueleza mengi.

Kabla ya kunikaribisha nisaidie haya kwanza ili tuanze vizuri mwaka mpya 2021.

Wale wazee wa kuponda kila wazo la mtu subirini pembeni kwanza Uzi wenu nauandaa, kiherehere sipendi. MIMI HUWA SIJARIBIWI. HIIIIIIII!

HERI YA MWAKA MPYA MH. RAIS.
 
Back
Top Bottom