Madanguro yashamiri Dar, sheria iko kimya

Ndiyo system hiyo iliyopo! TRA inabidi wawaweke mashine za EFD pia
 
Jamani hali ni mbaya hapa dar kama vile buguruni maeneo ya kimboka, kituo cha muhimbili n.k. hivi police hawaoni

Hali mbaya vipi sasa, wanabaka watu au? Hiyo biashara ni heri ikahalalishwa serikali ikusanye mapato.
 
Ukiwa dar sehem ziko nyingi kuna wele cheap wapo pale kituo cha basi mwananyamala wanaita kwa wahaya,kuna buguruni,then wa hela nyingi kidogo wako kinondoni makaburini,

kuna pale kituo cha basi redcross jioni kwenye bar ya jolly club upanga,kuna ambiance,kuna maisha club kwakweli wanasaidia sana kuna kipindi polisi waliwakazia basi matukio ya ubakaji yakazidi mtaani ikabidi polisi watulie na tension mtaani ikatulia.
 
hao pia ni kitegauchumi cha polisi wakienda kuwakamata wanalipwa in kind na pesa juu
 
Mvua ya Jana tena nilkuwa kigamboni karbu na uwanja wa ufukoni primary (shababi) buk3 tu unapona
 
Back
Top Bottom