Madam Rita Mfano wa kuigwa!

hivi mzee Mengi kazaa nae au ilikuwa kula raha tu. mwenye kujua anihabarishe.
Nampa big up kwa jitihada zake
 
Hehehe hapana jua kuwa hii mama iko na masarau hifi.... lakini inafanya kasi musuri kuinua vipaji vya vijana tanzania sema wengi wao wanapoteleaga gizani. Misoji Nkwabi na Jumanne sijawasikiaga teena. Iko maratiso na hii musiki ya bongo.
 
Ha ha kwa copy huyu mama so mchezo halafu nimecheli kwenye U-tube ile final yake ilikuwa ni kimeo hakuna utaratibu kabisa yaani hovyoo
 
Hapana mtu wangu mimi ni mpenda maendeleo tu na mwenye kusifu pale ninapoona mtu anafanya vizuri.
Hakuna neno... basi usimsifu kwa ubunifu bali kwa enterpreneurship.... sababu hajabuni kitu... ila all the best amesucced, hapo sikatai ni jinsi tu ulivyoweka neno ubunifu. Merry Xmass
 
Big up madam Ritta. Hivi kweli lengo la BSS ni kunyanyua vipaji vya wabongo na kuwasaidia halafu wengine mnathubutu kusema eti zile milion 30 ziende kwa mtu ambaye si mzalendo? Mama pongezi sana kwa maamuzi magumu but very helping and touching to needy!! Bravo.
 
Hajabuni kitu,,amekopi na kupesti.

Mpeni sifa zake huyu mama kama kukopi na kupesti mbona hakuna aliyejaribu hiyo copy and paste.she deverves let us appreciate for what she has done.that is all.
 
Mpeni sifa zake huyu mama kama kukopi na kupesti mbona hakuna aliyejaribu hiyo copy and paste.she deverves let us appreciate for what she has done.that is all.
Let call a Spade a Spade; Kamsifu kwa ubunifu..... Hapo amekosea sababu hajabuni; Ila kwa enterpreneurship na kumanage kitu anachokiendesha hakuna anayepinga anahitaji pongezi
 
Back
Top Bottom